Anayeuza PS2 iliyochipiwa kwa lakimoja

kayimukaa

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
483
636
Heshima zenu wakuu, mi nipo dar, nina laki moja na ninahitaji kununua ps2 iliyokamilika (complete) ambayo imechipiwa/ uwezo wa kutumia flash disk. Bajeti yangu ni Tsh 100,000. kwa aliyenayo ani PM au aweke mawasiliano yake na nitamtafuta kama yupo dar.
 
Heshima zenu wakuu, mi nipo dar, nina laki moja na ninahitaji kununua ps2 iliyokamilika (complete) ambayo imechipiwa/ uwezo wa kutumia flash disk. Bajeti yangu ni Tsh 100,000. kwa aliyenayo ani PM au aweke mawasiliano yake na nitamtafuta kama yupo dar.

ninayo namba yangu ni 0757268195
 
Back
Top Bottom