Anayetakiwa kumrithi Uenezi Paul Makonda kwa hali na Siasa za sasa ni huyu

Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 8 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Katika list yako hiyo namuona Anthony Mtaka tu hao wengine wako unga sana.
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 8 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Kafulila ni sawa kabisa ila sijui kama watamkubali wateuzi
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 8 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Inamuhitaji VUTA-NKUVUTE
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 10 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65%

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

9. Albert Chalamila 69%

10. Joketi Mwegelo 58%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Tumbili sawa
 
Nakubaliana na wewe mleta mada na hata rankings zako ziko vizuri. Kafulila anafaa sana akifuatiwa na Mtaka.
 
Siasa hizi z whatsap anahitajika mwanasiasa anaejua kuchunga mdomo, unaweza ongea kama utani baada ya dakika tano hadi putin keshajua, pia siasa sio kukimbizwa na watu, ni strategy
 
Siasa hizi z whatsap anahitajika mwanasiasa anaejua kuchunga mdomo, unaweza ongea kama utani baada ya dakika tano hadi putin keshajua, pia siasa sio kukimbizwa na watu, ni strategy
Hiki ndiyo kimemuondoa yule kichwa maji mfanya maigizo Makonda
 
Huu upinzani wa akina mbowe central command imeshadhibitiwa, uliobaki ni upinzani wa mtu mmoja mmoja kama akina heche, ambao ni rahisi kuudhibiti,

Ile team work iliyompatia ushindi nasari kule arumeru haipo tena.

Cha kuchunga ni kutotengeneza upinzani ndani ya ccm ambao kuudhibiti itakuwa kazi ngumu kidogo.
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 10 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65%

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

9. Albert Chalamila 69%

10. Joketi Mwegelo 58%

Kila l
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 10 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65%

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

9. Albert Chalamila 69%

10. Joketi Mwegelo 58%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Mr.Pasco Mayalla is coming
 
Baada ya Ndugu Paul Makonda kuwekwa kando kwasababu ama ya makosa yake ya kiufundi au mbinu za wapinzani wake ndani ya CCM.

Nini kimemngo'a Paul Makonda?

Kwanza, Style yake ya vita isiyokwisha na waliotazamwa kama wapinzani wa JPM ilikuwa inakipasua chama.

Pili, Style yake ya kukusanya kero bila kueleza mafanikio ya Serikali ilikuwa inamjenga yeye binafsi kwa gharama ya kupunguza umaarufu wa Serikali na hata chama.

Tatu, Uwezo mdogo wa kutetea mafanikio ya awamu ya 6 yalipunguza sifa muhimu kuweza kuendelea kuwa msemaji wa chama.

===
Sasa mjadala ni mwana CCM gani anastahili kubeba jukumu hili hasa wakati huu mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na ule wa Oktoba 2025.

Nimeona majina kadhaa yanatajwa kama Mhe John Mongela, Mhe Ali Happi, Mhe Amos Makala,Mhe Anthony Mtaka,Mhe David Kafulila, Heri James na hata Ndugu Martin Shigella.

Hata hivyo, Wote hawa hawatajwi kwa sifa za kwanini wataijenga CCM kuhimili ushindani wa kisiasa au kukubalika hasa nje ya CCM bali wanaelezwa kwa namna walivyo na uswahiba au connections na baadhi ya wazee wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM.

Naomba nianze kwa kuchambua sifa za mwenezi anaetakiwa kwa sasa kisha nichambue mmoja baada ya mwingine katika hawa wanaotajwatajwa;

1. Mwenezi lazima awe na uwezo kutetea mafanikio ya serikali ya CCM kwa hoja na takwimu.

2. Mwenezi lazima awe na uwezo wa kumtetea Rais Samia suluhu hassan kwa hoja za msingi na sio mapambio na ngonjera.

3. Mwenezi lazma awe na uwezo unaoendana na upeo wa vinara wa upinzani kama Lissu, Zitto, Heche, Mnyika ktk kujenga hoja.

4. Mwenezi hapaswi kuwa mtu anayetazamwa kama mfuasi wa kambi fulani ndani ya CCM ili wanachama na viongozi wote wamsikilize na wawe na amani kufanya nae kazi kwa umoja wa chama hasa kuelekea 2025.

5. Mwenezi lazima awe na upeo kuweza kumudu na kusikilizwa na jamii ya social media ambayo kuna watu wamejijengea himaya zenye ufuasi mkubwa na ni Muhimili mkubwa wa upinzani kuliko hata vyama vya upinzani kama ilivyo kwa maria sarungi kigogo na wengine.

6. Mwenezi lazima awe mtu ambae umma unaweza kumsikiliza kwa kuwa na hoja zenye uzito (Charisma )

7. Mwenezi lazma awe mtu ambae anaweza kuongea na viongozi wa serikali waone wanaongea na mtu anaejua serikali hivyo wampe heshima bila kumuogopa. Akiongea na watalaamu na wala asidharaulike kwa wataalamu kuwa anapiga porojo za siasa

8. Kwakuwa 45% ya wapigakura wote ni vijana mwenezi lazima awe ni kijana msomi na mwelevu na mtu anayeichukia rushwa kwa maneno na matendo yake.

Nafanya ranking kwa hoja hizi 8 Kwa majina haya 10 kwa Leo.

1. Ali Hapi 67%

2. David Kafulila 77%

3. Amos Makala 65%

4. John Mongela 65%

5. Martin Shigela 66%

7. Heri James 70%

8. Antony Mtaka 71%

9. Albert Chalamila 69%

10. Joketi Mwegelo 58%

Kila lenye heri chama Cha Mapinduzi,

Mungu ibariki CCM.
Kafulila hana sifa na hawezi kamwe kupewa hiyo nafasi. Ule upumbavu alioufanya Simiyu asahau milele kupewa nafasi yoyote ya kukutana na umma. Ule upuuzi umepelekea Simia kupoteza mvuto wote kule Simiyu.
 
Back
Top Bottom