Anayesimamia Idara ya Habari CHADEMA anakihujumu chama

Youtube mpaka picha zenu zipite kwa fundi cherehani aziunge ndo mzirushe
Inaonekana wewe si mtembezi tuulize sisi tunaojua viwanja vinavyohusishwa kwenye hizo video acha ushabiki wa kijinga unazidisha aibu kwenye hilo kundi lenu la maharamia
 
Tumaini makene Ni CCM yule ashakula pesa za CCM

Athibitiwe hata Kama hawana uwezo wanipe Mimi kazi nitawaweka live YouTube, Instagram, Facebook na Twitter

Muda wote wa kampeni mpaka wanamaliza.

Huu unaofanyika Sasa Ni utoto toka asubuhi saa 11 ndio watu wanaleta picha huu Ni zaidi ya utoto.
Matokeo ya Mbowe kutoa kazi kikabila na kujuana juana ndio yanasababisha hayo yote yatokee.
 
Wameshaambiwa Mnyika anatakiwa arudi makao makuu afanye coordination ya mambo yanavyoenda, aache kufuatana na Lissu kwenye misafara ya kampeni. Mambo hayaendi kwa ustadi unaotakiwa, sasahivi mtu kupata habari za kampeni za Chadema mpaka uzifuate, kiuhalisia inatakiwa habari imfuate msomaji.

Sawa vyombo vya habari vimebanwa kuripoti habari za Chadema, now Chadema wanatakiwa kuwa na reliable source of information, kama ni page ya fb, twitter, au insta, japo upande wa twitter nawaona lakini access ya twitter ni ndogo kwa watu wengi, fanyeni kutoa hata vipeperushi huko mikoani mnapoenda kwenye kampeni wapelekee ndugu zao huko vijijini.
 
Chama cha Kishikaji hicho. Umeona hata ILANI yao mahala popote? Wanapigwa bao hata na ACT Wazalendo.
 
Hili suala linatia aibu chama, Ni majuzi tumetoka kutangaziwa rasmi kuwa chama kimezindua CHADEMA Dijitali lakini vitu vidogo tunashindwa mfano Acc za Chama na mabaraza yake hazipo verified, hakuna realiable sources ya habar kutoka social networks pages.

Youtube wanaweka viclip havina mpangilio hata hapa jF watu binafsi kama Molemo @SalarySlip ndio wajitolea kwa mapenzi binafsi kuleta updates, huku ofisi ya habar ikiwepo.
 
Ni kweli kabisa kwenye kitengo cha habari chadema ni ziro kabisa sijui huyo mpuuzi wamemtoa wapi yani kazubaa utafikiri ana kazi maalum chadema, watu tunatafuta video na habari kwa nguvu mno, alafu sio wabunifu hata hotuba za lisu awachapishi na kutupia mtandaoni.

Katika kipindi hiki cha kubanwa na maccm mngetoka na mkakati wa kusambaza hotuba za lisu kwa mbinu zozote msibweteke, mnaboa sana yani.
Cdm cdm cdm idara ya Habari inashidwa kwenda na pace ya Mgombea wao wa Urais.

Mgombea anajitahidi sana kumwaga Sera ila jamaa wako slow sana kwenye kum-publicise mgombea wao.
Ilitakiwa.Jirekebisheni bado mapema
 
Wakirekebishe waaminike. Kama jambo dogo kama habari wanafeli je la kuongoza nchi?

ACT wako vizuri kuanzia ilani hadi PR za Social Media

Chadema ukanjanja unawaharibia

CCM basi tu wanatumia dola ipasavyo
 
Wameshaambiwa Mnyika anatakiwa arudi makao makuu afanye coordination ya mambo yanavyoenda, aache kufuatana na Lissu kwenye misafara ya kampeni. Mambo hayaendi kwa ustadi unaotakiwa, sasahivi mtu kupata habari za kampeni za Chadema mpaka uzifuate, kiuhalisia inatakiwa habari imfuate msomaji.

Sawa vyombo vya habari vimebanwa kuripoti habari za Chadema, now Chadema wanatakiwa kuwa na reliable source of information, kama ni page ya fb, twitter, au insta, japo upande wa twitter nawaona lakini access ya twitter ni ndogo kwa watu wengi, fanyeni kutoa hata vipeperushi huko mikoani mnapoenda kwenye kampeni wapelekee ndugu zao huko vijijini.

Ratiba yao ya mikutano Ni tofauti na ccm... CCM wanafanya mikutano mingi na maeneo tofauti hivyo Ni rahisi kuwafikishia ujumbe wananchi...
CDM wangetumia njia mbadala za mitandao ya kijamii, vipeperushi, wanunue na matangazo ktk tv, redio na ht magazetini ili wafikishe ujumbe na hoja zao kwa raia na kwa wakati..
 
Tumaini makene Ni CCM yule ashakula pesa za CCM

Athibitiwe hata Kama hawana uwezo wanipe Mimi kazi nitawaweka live YouTube, Instagram, Facebook na Twitter

Muda wote wa kampeni mpaka wanamaliza.

Huu unaofanyika Sasa Ni utoto toka asubuhi saa 11 ndio watu wanaleta picha huu Ni zaidi ya utoto.
Na bado mtakamatana sana uchawi
 
Ratiba yao ya mikutano Ni tofauti na ccm... CCM wanafanya mikutano mingi na maeneo tofauti hivyo Ni rahisi kuwafikishia ujumbe wananchi...
CDM wangetumia njia mbadala za mitandao ya kijamii, vipeperushi, wanunue na matangazo ktk tv, redio na ht magazetini ili wafikishe ujumbe na hoja zao kwa raia na kwa wakati..
Hii nimeandika kwenye makala ya pili ya hasira. Chadema vitu vingine wanafanya utafikiri hawako serious na kushinda huu uchaguzi.

Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
 
Muda mchache ndio mzuri kwa sababu watu wengii ni masikini hawana uwezo wakungalia dk20 zote na ukizingatia kila k2 ni point na facts tu zinatolewa
Acha kuwasemea watu, binafsi nimeacha kufuatilia campaigns kutokana na huo upuuzi mleta mada alioeleza yani hakuna consistency, pia quality ya video ni mbovu ndio hao wanachukua kwa simu ikiwa vertical screen haijai kwa sisi watazamaji.

Naungana na mtoa mada kuna mtu kapewa mlungula ili kukihujumu chama
 
Makamanda acheni kulaumiana bure kuweni wakweli leo mambo yamebuma Shinyanga ndiyo maana hatujaona picha za Bodaboda zikienda kumpikea mgombea , kuonyesha kwamba hali ilikuwa mbaya hata picha za kuhutubia mkutano meanza kuzitoa jioni hii.
Screenshot_20200902-141017.jpeg
Screenshot_20200902-212242.jpeg
Screenshot_20200902-172523.jpeg
 
Back
Top Bottom