taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
Kule kucheza tu na kamera na kutangaza matokeo hadharani ni udume tosha hili ni jeshi la mtu mmoja.kwa akili yako lini uliwahi kusikia mtu yeyote amefunguka kiasi hiki.na ndio maana akasema haogopi kufa sababu anaelewa uzito wa ishu anayokabiliana nayo.