Anayejuwa January Makamba ameacha legacy ipi Kwenye Nishati aje hapa atuambie

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Aliyekuwa Waziri wa Nishati January Makamba kwa kweli sisi wafanyabiashara wadogo ameacha wizara ameivuruga hii ni kwasababu umeme umekuwa changamoto kubwa tanzania nzima navyoona huenda hata raisi alivyoona kelele akamua kumtoa hapo zigo la kero la umeme amemwangushia Dkt. DOTHO BITEKO

Kwa kweli huyu waziri sijajuwa ameacha nini hapo nishati zaidi ya kero kubwa inayoitesa nchi kila siku giza nene. Sisi mafundi wa kuchomelea binafsi tunajuwa yeye ndiye ametuharibia kila kitu kwani zama zile za yule bwana umeme tulifaidi sana!

Wakati mwingine huwa najiuliza maswali mengi kalemani alitolewa pale kwa sababu zipi au ni yale maneno huyu siyo wa kwangu kama alimtoa kwa maneno hayo basi hii nchi inamaajabu sana.
 
I. Alitaka mtu mchafu ili wakusanye hela za uchaguzi..ilikuwa lazima kalemani atoke.

2. Utendaji kazi wa kalemani usingeendana na mama sababu tayari Kalemani alikuwa focused na asingeweza kurudi nyuma.( kumbuka ishu ya kuondoa 27000 ya kuunganisha umeme vijijini).

3. Utendaji kazi wa kalemani uliwatishia wanaccm maslahi akiwemo mama mwenyewe na kuona kalemani atakuwa maarufu kuliko yeye hasa alivyosimamia mtandao mzima wa umeme tanzania..hili donda ndugu la miaka mingi ila kalemani alidhibiti.

4. Mawaziri wengi wa Magufuli walikuwa overperfomers na walimzidi hadi VP..ungemchukua kalemani au lukuvi na samia uwaweke kwenye vote moja mama hafiki hata alfajiri.

5. Walitaka watengeneze mtandao wao sababu wao muda wote wanawa,ia vyeo na urais badala ya kuwazia kuleta maendeleo.
 
Aliyekuwa waziri wa nIshati january makamba kwa kweli sisi wafanyabiashara wadogo ameacha wizara ameivuruga hii ni kwasababu umeme umekuwa changamoto...
Legacy aliyoacha ni :
1. Project fake za upigaji
2. Softwara wahindi ya kipigaji
3. Mgao wa umeme nchi nzima
4. Kampuni ya customer care
5. Misifa ya kijinga

By the way mnamjua mmiliki wa viwanda vya nguzo za zege pale Bagamoyo?
 
Aisee jamaa noma sana sasa hivi kwa kweli wwngi tunaisoma namba kwenye nishati ya umeme had mafta
 
Legacy aliyoacha ni :
1. Project fake za upigaji
2. Softwara wahindi ya kipigaji
3. Mgao wa umeme nchi nzima
4. Kampuni ya customer care
5. Misifa ya kijinga

By the way mnamjua mmiliki wa viwanda vya nguzo za zege pale Bagamoyo?

Nguo za zege zilianza wakati waziri ni Kalemani...unataka kusemaje?
 
Nguo za zege zilianza wakati waziri ni Kalemani...unataka kusemaje?
Amepitiwa tu mkuu, msamehe. Haya tuendelee na legacy sasa.

1. Nikonekti - 700bn (nani anaijua na kuitumia sijui)
2. Token transfer - $30m (ikianza mtasema)
3. Kabinafsisha Distribution (vi d.cab vinazunguka tu mtaani vimebandikwa nembo za Tanesco, kampuni zao)
4. Slow down Nyerere dam ( angeendelea kuwepo, lisingekamilika kabisaa)
5. CNG tusiyoiweza wala kuihitaji kwa sasa (inahitaji takribani nusu ya uzalishaji wote wa umeme wa nchi kwa sasa kujiendesha)
6.
7.
8.
 
I. Alitaka mtu mchafu ili wakusanye hela za uchaguzi..ilikuwa lazima kalemani atoke.
2. Utendaji kazi wa kalemani usingeendana na mama sababu tayari Kalemani alikuwa focused na asingeweza kurudi nyuma.( kumbuka ishu ya kuondoa 27000 ya kuunganisha umeme vijijini)....
Wakati mwingine mifuasi ya mwendazake huwa inakuwa kama mijinga mijinfa flani hivviii. Imekaa kiuchawiuchawi ndo maana iko myeusiiiii
 
Ametuongezea gharama za kuanganisha umeme mpaka kufika 321k tutamkumbuka kwa hili
 
images.jpeg
 
Back
Top Bottom