ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Uchaguzi wa mwaka jana ulikuwa ni uchaguzi wa kihistoria toka mfumo wa vyama vingi uanze nchinj. Hii ni kutokana na wagombea wawili wenye ushawishi unao karibiana kuchuana vikali.
Ni wanaccm tu ndio wanaoweza kuwa na majibu kwa nini walishibda uchaguzi ule ulio kuwa na ushindani mkubwa.
Kwa upande wa ukawa wapenzi wao wengi hawajui mpaka leo kwa nini hawakushinda uchaguzi ule, pamoja na ukawa kuunda kamati ya kufanya tathmini ya uchaguzi wa 2015 inayoongozwa na prof. Safari ambayo tunategemea itakuja na majibu mujarabu kwa nini mgombea wao hajaenda ikulu.
Sisi kama mashuhuda wa uchaguzi mkuu ule tunaweza kuwa na majibu ya kuisaidia jamii ni wapi ukawa walikosea na wafanye marekebisho yepi katika uchaguzi ujao.
Ni wanaccm tu ndio wanaoweza kuwa na majibu kwa nini walishibda uchaguzi ule ulio kuwa na ushindani mkubwa.
Kwa upande wa ukawa wapenzi wao wengi hawajui mpaka leo kwa nini hawakushinda uchaguzi ule, pamoja na ukawa kuunda kamati ya kufanya tathmini ya uchaguzi wa 2015 inayoongozwa na prof. Safari ambayo tunategemea itakuja na majibu mujarabu kwa nini mgombea wao hajaenda ikulu.
Sisi kama mashuhuda wa uchaguzi mkuu ule tunaweza kuwa na majibu ya kuisaidia jamii ni wapi ukawa walikosea na wafanye marekebisho yepi katika uchaguzi ujao.