Hansss
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,370
- 2,722
Wakuu mbona mimi nimesimamia uchaguzi na kupiga kura lkn hicho chama sijakiona sasa lingeshinda vp wkt kwenye idadi ya vyama hakipo?Ndio maana nilipokikosa kwenye idadi ya vyama yaani fasta nikamcheki Swaiba Hashim Rungwe na chauma chake nikampa tiki yake.