voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Huyu jamaa alikuwa amepwaya kuvaa viatu vya msemaji wa Serikali.
Aligeuka kuwa Chawa badala ya Msemaji wa Serikali.
Sikuwa nikiona tofauti kati yake na ma- Chawa wengineo mfano kina Mwijaku nk.
Huko Michezo panamfaa zaidi maana hayuko serious na Michezo na Burudani patamtosha kabisa.
Aligeuka kuwa Chawa badala ya Msemaji wa Serikali.
Sikuwa nikiona tofauti kati yake na ma- Chawa wengineo mfano kina Mwijaku nk.
Huko Michezo panamfaa zaidi maana hayuko serious na Michezo na Burudani patamtosha kabisa.