Anayejua kanuni za uongozi wa juu serikalini atawapongeza CHADEMA

Wakati anahamia CDM hamkujua hata?
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu mgombea wa uwenyekiti?
Watu hawahamii vyama ili wawe viongozi, na utagombea uongozi endapo tu utakidhi masharti ya nafasi uitakayo na si kila mwanaccm anaruhusiwa kugombea uenyekiti.
Kwanini wanaccm wanawashwawashwa mhe. Sumaye kuukosa uenyekiti?
 
Kuna ule mpango wa sheria inayompa mamlaka msajiri kumuondoa uanachama mtu, sijui ipo?
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Bandiko murua,muda muafaka
 
Kwa hili CHADEMA ndo wanapaswa kulaumiwa sana Haswa Mbowe. Sumaye na Mzee Lowassa hawakupaswa kukubaliwa CDM na kupewa nafasi za juu kiasi hicho. Wale naamini walikuja kuvuruga au kutafta POWER. baada ya Lowassa kuona kapigwa chini na kujua kwamba nothing has left akarudi hom. Sumaye anazuga kusema et hajihusishi na siasa tena ila atakua mshauri. Waondoke warudi hom ila pia CDM nayo cdhani kama watafika mbali.

Kwa mbaaali naiona ACT inakuja kwa nguvu na ndo inaeza ikawa chama itakayochuana na CCM.

Nimewaza tu kwa sauti lakini
 
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
Another Rubbish.
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Ndio hapo sasa, utawajua tu CCM kama majuha vile.
 
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
Ni vizuri kabla ya kuandika jambo ujipange ili ueleweke, umetumia muda mwingi kuandika kwa maneno ya kuokoteza kwani haukujipanga.
 
Ni vizuri kabla ya kuandika jambo ujipange ili ueleweke, umetumia muda mwingi kuandika kwa maneno ya kuokoteza kwani haukujipanga.
Lipi neno la kuokoteza Ndugu, usitangulize ushabiki, shughulisha halmashauri ya kichwa chako utaelewa tu.
 
Kwa hili CHADEMA ndo wanapaswa kulaumiwa sana Haswa Mbowe. Sumaye na Mzee Lowassa hawakupaswa kukubaliwa CDM na kupewa nafasi za juu kiasi hicho. Wale naamini walikuja kuvuruga au kutafta POWER. baada ya Lowassa kuona kapigwa chini na kujua kwamba nothing has left akarudi hom. Sumaye anazuga kusema et hajihusishi na siasa tena ila atakua mshauri. Waondoke warudi hom ila pia CDM nayo cdhani kama watafika mbali.

Kwa mbaaali naiona ACT inakuja kwa nguvu na ndo inaeza ikawa chama itakayochuana na CCM.

Nimewaza tu kwa sauti lakini
Cdm sio ya kufa leo bruh! Trust me
 
Lipi neno la kuokoteza Ndugu, usitangulize ushabiki, shughulisha halmashauri ya kichwa chako utaelewa tu.
Post yangu iko wazi nimejikita kwenye kanuni za kiutawala hasa viapo na ufuatiliaji wake kwa kutumia usemi wa they will never walk alone, they are always shadowed. Wewe umekwenda mpaka Tabora na mambo mengine ambavyo sidhani unayo ushahidi wake zaidi ya kudhani.
Viongozi makini hawawezi wakamuachia uongozi wa huu kabisa aliyetoka kwa upinzani wake na viapo vya daima.
 
Post yangu iko wazi nimejikita kwenye kanuni za kiutawala hasa viapo na ufuatiliaji wake kwa kutumia usemi wa they will never walk alone, they are always shadowed. Wewe umekwenda mpaka Tabora na mambo mengine ambavyo sidhani unayo ushahidi wake zaidi ya kudhani.
Viongozi makini hawawezi wakamuachia uongozi wa huu kabisa aliyetoka kwa upinzani wake na viapo vya daima.
Using'ang'anie Kanuni za kiutawala tu, kila kitu kinaeleweka, kuna Historia pia lazima uifahamu FS alifikajefikaje hapo CDM ,pia si kila utakachoandika kikubaliwe na wote, na ukifahamu Historia vizuri utajishughulisha kuufahamu ukweli badala ya kunishambulia, sijaandika mambo ya kudhania wala kuokota, kwa kukusaidia anzia safari ya mabadiliko ilivyoanza na yanayoendelea leo !
 
Using'ang'anie Kanuni za kiutawala tu, kila kitu kinaeleweka, kuna Historia pia lazima uifahamu FS alifikajefikaje hapo CDM ,pia si kila utakachoandika kikubaliwe na wote, na ukifahamu Historia vizuri utajishughulisha kuufahamu ukweli badala ya kunishambulia, sijaandika mambo ya kudhania wala kuokota, kwa kukusaidia anzia safari ya mabadiliko ilivyoanza na yanayoendelea leo !
Kanuni za kiutawala ambavyo ni viapo alivyoapa akiwa kwenye nafasi ya juu serikalini haimpi nafasi ya kushiriki siasa ya uongozi kwenye chama cha upinzani, lazima alinde mambo nyeti ya mtawala aliyoapa kuwa atayalinda daima, nafasi za chini zinamtosha.
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa juu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Mwakana hakuna Mbunge wa Chadema atapenya na ndio utakuwa mwisho wa CDM
 
Mwakana hakuna Mbunge wa Chadema atapenya na ndio utakuwa mwisho wa CDM
Kura yangu na yako sizo zinazotupa wabunge na Rais sasa chaajabu ni nini, kwani hao wabunge wa CCM waliopo wanachokifanya cha ajabu ni kipi! Jenga akili yako acha ushabiki wa kijinga.
 
Kwa EL ilikuwaje yeye hakuwa shadowed.
Kanuni za kiutawala ambavyo ni viapo alivyoapa akiwa kwenye nafasi ya juu serikalini haimpi nafasi ya kushiriki siasa ya uongozi kwenye chama cha upinzani, lazima alinde mambo nyeti ya mtawala aliyoapa kuwa atayalinda daima, nafasi za chini zinamtosha.
 
Back
Top Bottom