Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,436
- 30,932
- Thread starter
- #21
pole sana kwa hilo tatizo. Unahitaji ujijue vizuri na uzingatia kuwa maisha yako ni muhimu kuliko kutambulishana kwa wazazi. Kama jamaa yako siyo mwaminifu na ndiyo maana mnatumia kondom, je mkioana mtatumia condom milele! Plz think big Lady!
Ksngr we acha tu!
Yani anatamka waziwazi,"ukiniacha mawili,ufe wewe au tufe wote" yani naishi nae huku roho mkononi.
Polisi tumepelekana,na msimamo wake huohuo kuwa haniachi,na nikijaribu kutotumia mpira basi nafanya tu kishingo upande,huko kupelekana hsptal tu ilikuwa ugomv mkubwa,
Imefikia mahali kila ifikapo asubuh nakimbilia magazeti ili kuangalia skendo zake,
Ataniua jamani.
Acha tu Kisungura,niko njia panda.