Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,437
- 30,932
Habari zenu wana Jf,
Nina tatizo la kuwashwa sana ukeni,kuvimba uke na kupata vijipele vidogo vidogo visivyouma, iwapo tu nitajamiiana kwa kutumia Kondomu,
Ila nikijamiiana bila kutumia Kondomu tatizo hilo silipati,hivyo basi
Kama kuna daktari atakaesoma mada hii naomba unisaidie tatizo langu,aidha kwa ushauri au vyovyote vile,
La kama unafahamu namba ya simu ya daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi,tafadhali naomba unipatie.
Asante.
MADAMME B.
Nina tatizo la kuwashwa sana ukeni,kuvimba uke na kupata vijipele vidogo vidogo visivyouma, iwapo tu nitajamiiana kwa kutumia Kondomu,
Ila nikijamiiana bila kutumia Kondomu tatizo hilo silipati,hivyo basi
Kama kuna daktari atakaesoma mada hii naomba unisaidie tatizo langu,aidha kwa ushauri au vyovyote vile,
La kama unafahamu namba ya simu ya daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi,tafadhali naomba unipatie.
Asante.
MADAMME B.