THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,729
- 3,290
Wasalam wanajukwaaa.
Nipo naangalia hii Match ya Simba na Tembo ya FA Aisee inakera badooo sana, Yani zile beki zinachokifanya ndio kile tumetoka kukiona kwenye Team ya Taifa. Japo sio wote walikua Team ya Taifa ila hiki ni kielelezo kua Kumbe wachezaji wa Kitanzania swala la kuchezea Mpira Nyuma Lipo Damuni.
Nasema kama mtu ananipinga hapa angalia Mpira akishika Mchezaji wa kigeni kama Kanoute,Luis Miq,Saido wote hawa wana force wanafanya Turns za kwenda Mbele sio za kurudisha Mpira nyuma.
Ukibisha Nenda kibanda umiza saiv angalia hii game kama huna Azam kwako.
Nasema utachukia sana Mtu anapokea mpura Nyuma hata hajakabwa anarudisha kwa golikipa mara wanagongeana wao tu wakat kule mbele Fowards hajapata Mpirà.
Ili SOKA La Bongo Li badilike linatakiwa Lianzie kwa vilabu vyetu Maana sisi wachezaji wetu Asilimia 90 wanatoka Ligi ya Ndani sio kama Mataifa Mengine ambayo Team zao za Taifa zinaundwa na wachezaji wanaocheza Nje ýa Nchi hususan ulaya ambako Mpira wa back Pass ni Criminal offense kabisa.
Kwa soka hili la back pass hata tulete Pep Team ya Taifa haitotoboa Maana mchezaji kafundishwa kuchezea mpira Nyuma..Labda wachezaji wa Team ya Taifa wote watokee vilabu vya Mataifa ya Nje ya africa.
Nipo naangalia hii Match ya Simba na Tembo ya FA Aisee inakera badooo sana, Yani zile beki zinachokifanya ndio kile tumetoka kukiona kwenye Team ya Taifa. Japo sio wote walikua Team ya Taifa ila hiki ni kielelezo kua Kumbe wachezaji wa Kitanzania swala la kuchezea Mpira Nyuma Lipo Damuni.
Nasema kama mtu ananipinga hapa angalia Mpira akishika Mchezaji wa kigeni kama Kanoute,Luis Miq,Saido wote hawa wana force wanafanya Turns za kwenda Mbele sio za kurudisha Mpira nyuma.
Ukibisha Nenda kibanda umiza saiv angalia hii game kama huna Azam kwako.
Nasema utachukia sana Mtu anapokea mpura Nyuma hata hajakabwa anarudisha kwa golikipa mara wanagongeana wao tu wakat kule mbele Fowards hajapata Mpirà.
Ili SOKA La Bongo Li badilike linatakiwa Lianzie kwa vilabu vyetu Maana sisi wachezaji wetu Asilimia 90 wanatoka Ligi ya Ndani sio kama Mataifa Mengine ambayo Team zao za Taifa zinaundwa na wachezaji wanaocheza Nje ýa Nchi hususan ulaya ambako Mpira wa back Pass ni Criminal offense kabisa.
Kwa soka hili la back pass hata tulete Pep Team ya Taifa haitotoboa Maana mchezaji kafundishwa kuchezea mpira Nyuma..Labda wachezaji wa Team ya Taifa wote watokee vilabu vya Mataifa ya Nje ya africa.