Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Hello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahali

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Acha ubwege wewe,wewe ulikuwa wa akiba pamoja na kutoa mahari.
Piga chini dai chako move on.
 
Hello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahali

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Bado unamuita "mpenzi wangu"..
 
Kwanza nikupe pole kwa madhira yaliyokusibu.pili nikupongeze inaelekea ww au mama yako anakuombea sana .huyo mwanamke hakufai na hiyo ni ishara kuu wanaopata bahati yako chini ya jua wachache sana.maana hapo ni uhskika analala uchi na mwanaume mwingine.usidai mahali muache kimya kimya .
Ukikaidi kumuacha
1.ukubali kuishi kwa mashaka miezi 9 ya ndoa kuhisi ujauzito si wako .
2.stress ya kupambana kupima dna inqchukuq hadi miaka 2
3.hata mkiingia ndoan jamaa mwenye uwezo wa kumfanya asije kwako pamoja na mahali.basi ataendelea kumla tigo mkiwa ndoan na mkizaa watatu mmoja wake.
4.ameonesha kukutawala maana hata wazqzi wako kisiri hawatamuheshimu milele


Hatma.kaka kupenda hufumba macho hebu kwa hili jiokoe na hilo kahaba sugu.umri wa 30 bado nguvu zote elekeza kutafuta hela.
Wako mtiifu.
The only
 
Na mbwa mshamuita mdada wa watu masikini!! What if jamaa ndio mzinguaji?
Mwl sasa kama jamaa anazingua kwani mbwa wetu hakukataa kupelekwa kwa mahari? Kibaya zaidi naona jamaa ana amini kutakuwa na suluhu…lakini kama atakubali hiyo mbwa basi mbwa zitakuwa zimekutana na kitakachofata kuna mbwa moja italia kilio cha mbwa koko!
 
Hali hii inauma sana pindi unapokutana mayo, cos ulikuwa umeshaweka mipanho Yote sawa

Kikubwa hapo heshimu mawazo yake maana kashaamua..Na hapo kashaweka DOA, kwenye hayo mahusiano maana ndio ulikuwa kwenye finalisation stage YA kuwa mwili mmoja

Kwakuwa kashaamua Na wakati Jambo analijua lililopo mbele ni harusi..nakushauri move on..japo inauma saana tena sana Ila ndio mdada huyo kashaamua kutoka kwenye maisha yako

Nenda ukae Na familia yako waeleze kila kitu,Kisha funga mkanda Anza upya maisha yako pasipo yeye kuwepo kwenye maisha yako Na funga Vioo tinted dhidi yake

Hivi inawezekana mahari kurudishwa..au kiendacho Kwa mganga hakirudi, Kaa na familia Yao wabane warudishe hiyo mahari..over
Mwanangu roho mtakatifu Yu pamoja nawe usiumie ilamukiweza kafuate Mahari au subiri aolewe ukaiweke pingamizi kumvurugua tu huu SI mwaka wa Heri
 
Kwanza nikupe pole kwa madhira yaliyokusibu.pili nikupongeze inaelekea ww au mama yako anakuombea sana .huyo mwanamke hakufai na hiyo ni ishara kuu wanaopata bahati yako chini ya jua wachache sana.maana hapo ni uhskika analala uchi na mwanaume mwingine.usidai mahali muache kimya kimya .
Ukikaidi kumuacha
1.ukubali kuishi kwa mashaka miezi 9 ya ndoa kuhisi ujauzito si wako .
2.stress ya kupambana kupima dna inqchukuq hadi miaka 2
3.hata mkiingia ndoan jamaa mwenye uwezo wa kumfanya asije kwako pamoja na mahali.basi ataendelea kumla tigo mkiwa ndoan na mkizaa watatu mmoja wake.
4.ameonesha kukutawala maana hata wazqzi wako kisiri hawatamuheshimu milele


Hatma.kaka kupenda hufumba macho hebu kwa hili jiokoe na hilo kahaba sugu.umri wa 30 bado nguvu zote elekeza kutafuta hela.
Wako mtiifu.
The only
Bahati mbaya sijui kama mtoa mada anajua kuwa kilichomkuta ni bahati nzuri kabisa! Ni kama wale wanaokutana na bahati mwishoni kabisa wa kukata tamaa kabisa!
Kinyume na hapo ndio angekuwa analia kila leo huyu…
 
Hello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahali

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Kachukue mahari uliyolipa, yote uliyomfanyia hesabu ulishapoteza na umekula hasara.
 
"HATUKUPENDAA KUWA SINGO, (Chuii) HATUKUPENDA KULEWA KILA SIKU, HATUKUPENDA TUITWE MALAYA, HATUKUPENDA ILA ILITOKEA TULIPIGWA NA KITU KIZITO, KITU KIZITO. HATA KAMA ULIMPENDAAA ILA WEW NI MJINGA,, MANA UMETOA MAHALI NA BADO KAKUPA CHA MBAVU MNINGAA, MAPENZ MIAKA MITANO UKASHNDWA MPA MIMBAAAA,, UNAKITU KIZITO"
 
Hello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahali

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Braza ndoa hua hailazimishwi ni hiari ya mtu kwaiyo huyo bint achana nae ww hama apo unapoishi tafuta bint mwingine uowe alafu usirudie tena kuishi ma KE mda mrefu bila ya ndoa
 
Back
Top Bottom