Naombeni ushauri wadau, Nina mpenzi mpya ambae 2meanza ku date toka mwezi wa pili mwishoni. Kiukweli tunapendana bt tatizo limekuja baada ya x boy wake kumpgia simu akaongea nae afu akakata akamwambia yuko bize anachat na mme wake (mimi). Toka hapo jamaa anampgia simu anamtukana na kutaka arudishiwe simu yake. Demu kaamua kuzima simu na kaazimia kumrudishia simu yake. Wadau hapa mnashaurije? Nimfanyeje jamaa maana ts 2 much