habari wanajamvini tunataka mwalimu wa kufundisha computer course mafinga kwenye chuo cha usecretary kimesajiliwa na veta. Kama uko tayali tuwasiliane kwa maelezo zaidi. Mshahara ni maeleweno kutokana na utendaji kazi wako. Please nafasi inahitajika kujazwa haraka if ur interested check on me kwenye PM or zeprezidar@gmail.com