Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,109
- 2,510
Guyz nadhani wengine hamjanielewa, mimi nimewaomba mnisaidie cha kufanya. Kwanza kabisa nia yetu c kumchuna na pia hua hatumuombi atu recharge anatuma kila wakati, na c kwamba hatujatulia ndo maana nimeuliza tumchenjie au tufanye nini' kwa ukweli kati yetu hakuna anaempenda. .
Hapa ndo mnanipa wakati mgumu, kwanini mnapokea hizo buku kumi kama kweli hamumpendi?
.[/QUOTE]Kuchanganyikiwa na mimi c kumaanisha mi ni mzurii hapana na wala cjifagilí kwani m2 anaweza changanywa na tamaa zake 2, kwa hiyo mnanishauri nifanyeje kwa mwanaume mwenye tabia chafu kama huyo? .[/QUOTE]
Unaamini vipi kama mwanaume mwenye tabia chafu wakati wewe na mdogo wako wote ni wachafu?
[/QUOTE]Tumtokeze au aki2ma vocha zake twe 2nazi rudisha, kwani kila mtu kwa wakati wake alimwambia hataki jamani lakini kaka huyu ni king'ang'a msaada plz.[/QUOTE]
Rudisheni jumla ya vocha zote alizowapa,kama ni jumla ya laki 2 rudisheni jumla ya laki mbili,kama aliwapa vitu vingine nazo rudisheni kwake aelewe tu kwamba ninyi nyote hamumpendi! Siyo hapa uhuulizi ushauri,hapa wewe unajishauri nizirudishe au niendelee nae ili atupe pesa,HUJIAMINI!