Ananilea Nkya wa TAMWA na matamko yake

Watu wanaokimbilia sababu nyepesi za ukabili na udini ni matunda ya UONGOZI KUTOKUTILIA MKAZO UMOJA WA KITAIFA NA KUJARIBU KUTUMIA TUFAUTI ZETU KUJIPATIA HURUMA AU UPENDELEO BILA KUJALI MADHARA YAKE. KUHUSU ANANILEA NKYA KUUNGA MKONO KWA SABABU ANATOKA MKOA FULANI NI TATIZO LA KIFIKRA. WATU WAMEANZA KUFIKIRIA KIKABILA NA HILO WATALIONA HATA SHULENI NA KWINGINEKO. WATU WAMEANZA KUZUNGUNZIA UDINI KWA SABABU UMEPEWA NAFASI KUBWA KATIKA NCHI YETU.
 
Jamani yashakuwa hayo, watu wasiseme interest zao, wakisema wanashabikia chama fulani kweli tanzania uhuru wa maoni bado sana. yaani hatuwezi kusimama kwenye ukweli, ni kuongea ulipo na maslahi yako, hala jamni.
 
jamani yashakuwa hayo, watu wasiseme interest zao, wakisema wanashabikia chama fulani kweli tanzania uhuru wa maoni bado sana. Yaani hatuwezi kusimama kwenye ukweli, ni kuongea ulipo na maslahi yako, hala jamni.

kwenye mabo muhimu kwa mustakabali wa taifa letu hakuna kitu interest zao.tunahitaji watu makini kwa wakati kama huu,watanzania si wajinga tena.shimbo alijaribu kuleta interest za kundi fulani watu wote wamemkomalia na hajasema chochote kwani nafsi yake inamsuta.sasa wewe remmy sijui jinsia yako lakini vyovyote vile masuala kama haya hayahitaji maoni yanayo wakilisha interest za kundi flani bali ya watz wote.
 
Ladies and Gentlemen,

Msishangae hawa waliotumwa kuongeza kura za JK kuwa na mawazo finyu. Nafikiri huo ndio mkakati wao uliobaki. Inaonekana fika kuwa JK na timu yake wameshaamua kumwaga damu kama watakosa ridhaa ya waTZ hapo 31/10. Ukiangalia kwa undani, wanayozungumza jukwaani ni tofauti na wanayofanya on the ground. Unakataza udini halafu chinichini unauchochea; unahubiri amani huku chinichini unachochea kwa kutuma Green Guards kumwaga damu. Wanahubiri kampeni za ustaarabu, chinichini unamlipa (Unamhonga) Mahimbo kumshitaki Dr Slaa na kulipa waandishi uchwara kutoa gazetini na kuligawa bure kwa watu.

NASHAURI TUTAFUTE NAMNA YA KUZUNGUMZA NA WATANZANIA SIKU MOJA KABLA YA UCHAGUZI TUKIWA NA USHAHIDI KAMILI WA UNAFIKI HUU. KILA MTU MWENYE AKILI NZURI ATAFIKIRIA TENA UAMUZI ALIOFIKIA NANI WA KUMCHAGUA.

Haya yote wanayafanya kwa kuchanganyikiwa. Lakini ndiyo faida ya upinzani.
 
Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.

Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.

Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.

Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.

Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.

I am confident you have not done your research. For that reason you have no right to speak. Get me? Go, do your research then come back . Having your research done will have the right to speak. As of now you have barned youself from speaking about the issue you have raised.
 
Yeyote aliyeiponda report ya REDET, anatumia common sense. Kuikubali inahitaji mazoezi ya kiakili (mental gymnastics).
Nchi ya watu mil 30+, unahoji watu 2600, una publish kama research tena kwa media?
Big joke!
 
Heee KAUMZA! Umejipalia mkaa mbona! Kweli hujui unachooandika/unachosema.
Kwa Kuongezea alichosema Acid, Mama Nkya ni mwanaharakati na kipindi hiki cha uchaguzi wanaharakati wanaelekeza nguvu kuhoji yale yasioenda sawa katika medani ya ushindani wa kisiasa. Kwa vyovyote CCM wako kwenye mizani ya kupimwa kwa yaliyopita ikiwa ni pamoja na kila lenye kuelekea kuipa advantage juu ya washindani wengine. Sijui kama uliwahi kusikiliza matangazo ya TAMWA ya TV na radio kuhusu kuwakataa viongozi wanotoa rushwa hata kama ni wa chama chako!
Kwamba haipendi au anaipenda CCM hayahusu! Je angeonyesha " kuipenda" CCM bado ungelalamika?
 
Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.

Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.

Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.

Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.

Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.
Umeuliza halafu umetoa jibu.
you know it all. Ikiwa unaiona randgi ya blue utauliza kwa nini rangi ya blue ni bluu? Mwacheni Iron lady Ananilea Nkya asimame ktk nafasi yake maana ninyi mkishamwona mtu anasimamia maslahi ya taifa mnamwita mchochezi.

Hamna pa kupenyea this tyme dogo
 
Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.

Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.

Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.

Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.

Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.[/QUO

Nakuunga mkono mia kwa mia,siku ile naona macho yamemtoka anafoka hovyo hovyo kwa kitu ambacho kiko wazi kabisa,nilimshangaa kweli kweli,nimemtoa maanani kabisa.
 
[/QUO

Nakuunga mkono mia kwa mia,siku ile naona macho yamemtoka anafoka hovyo hovyo kwa kitu ambacho kiko wazi kabisa,nilimshangaa kweli kweli,nimemtoa maanani kabisa.[/QUOTE]


Wewe kati ya watu wangapi?

Hapa tu mko wawili dhidi ya wangapi? Mjishangae!
 
Nilikuwa nadhani wewe una hekima kweli. Niseme kweli na si ushabiki mwananchi wa kawaida kuishabikia CCM ni lazima uwezo wake wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana.
Basi kama hivyo ndiyo ilivyo Wanachi wengi kati yetu hatuwezi kufikiri wala kuchambua mambo. sasa taifa letu litakuwaje? Mimi nafikiri tatizo siyi chama cha CCM bali tatizo ni baadhi ya Watu ambao wanaulewa wa kufikiri na Kuchambua mambo ila kwa makusudi wanahujumu taifa. Mbona baba wa taifa alikuwa chama hikihiki?
 
Yaani wewe hamna kitu kabisa!mtu akipinga tafiti za redet na synovate,na akipinga kauli ya shimbo basi yeye ni mwanachama au mpenzi wa CHADEMA!Kweli watu kama hawa ni mzigo kwa nchi yetu!bora kufuga kuku unaweza kupata hata mayai!
 
Ni mtu mwenye uvivu wa Fikra tu anayeweza kupandikiza dhana ya ukabila kipindi hiki ambapo pamoja na mambo mengine Nyerere alishakataza tokea enzi!
 
Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.

Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.

Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.

Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.

Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.

Mkurugenzi wa TAMWA, Bi. Ananilea Nkya akipokea tuzo ya Mwanamke Jasiri wa Tanzania kwa mwaka 2010 kutoka kwa Balozi wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt. Kapata tuzo hiyo kutokana na juhudi na ubunifu wa TAMWA wa kutumia vyombo vya habari katika kuimarisha usawa, fursa na haki za wanawake na watoto wa kike wa Tanzania.

Ubalozi wa Marekani nchini, umemtunutukia Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), Ananilea Nkya, tuzo ya mwanamke jasiri wa mwaka 2010 na umemwelezea kuwa ni mwanamke wa kuigwa kutokana na kujitolea kuhangaikia haki za wanawake na wasichana.
 
KAUMZA, MAMA NKYA ni KIOO cha kioo cha Taifa, Ni NURU YETU wapenda HAKI, NI NGUZO imara ya TAIFA. SHIMBO ANATUTAKA TUKUBALI MATOKEO HATA KABLA HATUJACHAGUA, MATOKEO YAPI TUYAKUBALI?
 
Nadhani KAUMZA alikuwa hana lengo la kumfahamu Ananilea Nkya bali alikuwa anataka kuitukana CHADEMA kuwa si Chama bali ni kampuni na ni ya mkoa wa Kilimanjaro. Na huo ndiyo mwisho wa upeo wake.

Nadhani CHADEMA si Chama cha mkoa fulani wala kabila fulani bali ni chama cha siasa kwa Watanzania wote. Ifike wakati tuache siasa za maji taka tuongee sera zenye kuleta mabadiliko katika nchi zetu.

Tunahitaji "Transparent and Strong Systems" we don't need strong parties and strong individuals. We lack those systems and we want someone who can dare to put them in place!!!!!! Confidently, JK has got that opportunity for the last 6 years but he wasn't able to put them in place and I doubt even if he gets another 5 years he will not and even if he changes the constitution to become life president he won't be able to do that.

We want people who can dare to talk openly of the facts regardless of how many friends will be hurt so that it is said for benefits of millions of Tanzanians.

You recently head Kinana saying that Slaa has made people with no offence to be taken to court (amedanganya), this is a statement from someone believed to be sorber and calm in mind.... Who took them to court? Is it Slaa or state organs after investigating the allegations and found the facts to take those people to court?

I doubt languages some leaders use...kama asemavyo Mpoto..hawa jamaa inatakiwa waende kusikiliza kanda zao baadaye kuwa walisema nini. Kwa wananchi makini..hiyo sentensi ya Kinana tayari ingekuwa kaburi la Watanzania inabidi tu ipewe uzito unaostahili.....
 
Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.

Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.

Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.

Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.

Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.

Wangekuwa 100 watu kama Nkya wallah nyie mngekuwa saizi mnaoza Segerea na bado mapambano yanaendelea mpaka kieleweke.
 
yaani dada angu inaonekana upeo wako uko chini sana. Okey jaribu kutembelea blog ya maggid utapata msaada wa hoja zako toka kwa maggid au Malaria sugu
 
Ninamuunga mkono Ananile Nkya, huyu mama ni Kichwa sana, ni PhD student under ford foundation scholarships. Hizi scholarship kuzipata ni hadi uwe na kitu cha ziada, kama vile mwananharakati Sungusia. Alichosema alichambua sana, na huyu mama amefanya social research nyingi sana na human rights hivyo ameamua kutema alichonacho katika data , sio za kupika.
 
Back
Top Bottom