Binafsi nimekuwa nikifuatilia sana matamko mbalimbali yanayotolewa na TAMWA kupitia kwa ANANILEA NKYA.
Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.
Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.
Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.
Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.
Matamko haya ndo yamenifanya nitake kujua huyu ANANILEA NKYA ni nani na ana uhusiano gani na CHADEMA/VIONGOZI WA CHADEMA? Maana zamani nilikuwa namsikia tu RTD.
Kama mmemsikia vema, majuzi alitoa tamko kupinga kauli ya Mnadhimu mkuu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO na siku mbili zilizopita alipinga ripoti za REDET na SYNOVATE kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu. Nionavyo mimi, TAMWA kama chombo cha wasomi hakipaswi kupinga ripoti hizo kwa kufuata mkumbo eti kwa kuwa watu wengi wamenazipinga (sijui hao watu wengi amewahesabu vipi), bali nao wangefanya utafiti wao ambao ungeweza kuja na majibu tofauti hata kama wangeyapika matokeo hayo.
Ndo maana tunaambiwa NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK.
Napata mashaka na ninaelekea kuamini kuwa labda kwa kuwa nae ametoka mkoa wetu ulee ambao unahusishwa na chama (kampuni) yetu ya CHADEMA? Maana TAMWA ni INTEREST GROUP, hivyo ni wazi kuwa ana INTEREST huko.