naisha nasri
Member
- Apr 25, 2016
- 67
- 64
Nimekutana na dada mrembo, anaclaim kama na yeye amenipenda sana.Shida imejitokeza nilipoomba mzigo nikaambiwa lazime tukapime kwanza.
Nimekubali kwenda kupima afya zenu na tukakubaliana kwenda Jmosi ya leo,usiku wa kuamkia leo ananiambia tutaenda Magomeni, nimeuliza kwa nini anasema lazima twende huko, nimejaribu kumconvince kwamba hospital zipo nyingi kwa nini twende Magomeni?.
Nimemwambia Magomeni siendi lakini niko tayari kwenda hospital yoyote isipokua huko Magomeni.
Najiuliza Magomeni kuna nn?
Nimekubali kwenda kupima afya zenu na tukakubaliana kwenda Jmosi ya leo,usiku wa kuamkia leo ananiambia tutaenda Magomeni, nimeuliza kwa nini anasema lazima twende huko, nimejaribu kumconvince kwamba hospital zipo nyingi kwa nini twende Magomeni?.
Nimemwambia Magomeni siendi lakini niko tayari kwenda hospital yoyote isipokua huko Magomeni.
Najiuliza Magomeni kuna nn?