Anaweza kuongea na mtu wake wakampandikizia ili baada ya miezi mitatu wakienda kupima upya wawe sare sare.Kuondoa mzizi wa fitina mwambie mtapima points mbili. Ya kwako iwe siri kwa sasa na ya kwake ya Magomeni. Mkimaliza kwake mnaunga kwako. Kuwa makini mno. Mimi walahi ni lazima nikupime hospital kubwa na ELISA. Wewe pia una Uhuru wa kunipima unakotaka wwe ili mradi antigen test nimekufanyia. Sikia HIV kwa mwrnzako tu.
Acha woga mwanaume jiamini! Ndo tatizo la wanaume wa dar wamejawa na woga,hofu na mashaka wakati wote.Nimekutana na dada mrembo, anaclaim kama na yeye amenipenda sana.Shida imejitokeza nilipoomba mzigo nikaambiwa lazime tukapime kwanza.
Nimekubali kwenda kupima afya zenu na tukakubaliana kwenda Jmosi ya leo,usiku wa kuamkia leo ananiambia tutaenda Magomeni, nimeuliza kwa nini anasema lazima twende huko, nimejaribu kumconvince kwamba hospital zipo nyingi kwa nini twende Magomeni?.
Nimemwambia Magomeni siendi lakini niko tayari kwenda hospital yoyote isipokua huko Magomeni.
Najiuliza Magomeni kuna nn?
Nimekutana na dada mrembo, anaclaim kama na yeye amenipenda sana.Shida imejitokeza nilipoomba mzigo nikaambiwa lazime tukapime kwanza.
Nimekubali kwenda kupima afya zenu na tukakubaliana kwenda Jmosi ya leo,usiku wa kuamkia leo ananiambia tutaenda Magomeni, nimeuliza kwa nini anasema lazima twende huko, nimejaribu kumconvince kwamba hospital zipo nyingi kwa nini twende Magomeni?.
Nimemwambia Magomeni siendi lakini niko tayari kwenda hospital yoyote isipokua huko Magomeni.
Najiuliza Magomeni kuna nn?
Ingekuwa mimi ningekubali kupima magomeni thereafter tungeenda sehemu nyingine.Na kwann wewe hutaki kwenda magomeni?? Sasa angekuwa anataka labda kukuambukiza ulivoomba mzigo c angekupa tu?? Kwann akwambie mkapime?? Hoja yako haina mashiko