100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,749
- 12,586
We ni bwege, anajua ni bwege ndio maana anafanya upuuzi kama huo ushauri acha ubwege.
unamahusiano na lijambaziNaitamani sana hii adhabu sijui kwanini haitokei kwa upande wangu
😅😅😅🤣 hatari sanaunamahusiano na lijambazi
ushatiwa limbwata wewe...😅😅😅🤣 hatari sana
Acha tu rafiki yangu.ushatiwa limbwata wewe...
Mwanamke akianza kiburi, ujue kuna raia nje anamuwekelea.Sio kweli Mkuu, mimi ni Mwanaume mwenye misimamo mikali.
NAHISI AMEMISS UKALI WANGU HUYU. NAMFUKUZA AENDE KWAO.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mbona gafla sana😃😃😂🙌Mpeleke White sand au samaki samaki mliman city usiku wa leo ukiona hajakujibu chochote ujue watoto wote ulio zaa nae siyo wako..
Hiki kiswahili hapana😃😂😂Ukiona Panya anakuchezea ujue shimo lake lipo karibu.