Jamani hii kali ndugu zanguni,ndani ya wiki hii mfanya biashara wa kike kampigia simu shoga yake na kumlalamikia kilio chake kua mumewe anamlawiti mtoto wake ambae kazaa na mume mwingine,ni mara nyingi anamlalamikia shoga yake,shoga yake akatoa tarifa polisi mume kakamatwa na mke amtoa mumewe kwa madai kua hakumtuma shoga yake ampeleke mumewe polisi kwani yeye na mumewe wametoka mbali na pia mume alimtolea figo mke akiwa mjamzito kwahiyo hawezi kumshtaki na ilotukio mara nyingi anamfanyia mtoto huyo,mtoto anamiaka mitatu wa kike,je mtoto angekua wako ungejisikiaje? na mwanamke tumueke katika kundi gani wana jamii?