CRISTA
Member
- Aug 5, 2012
- 78
- 24
Wana jf;
natumai ni wazima wa afya njema;nina mchumba (elimu ya chuo)ambaye tuna miaka takribani miwili sasa.ila toka nianze kuwa nae mara nyingi watu wangu wa karibu wa kike na wakiume huwa hawamkubali cna na hata nikimleta kwa watu kwa mara ya kwanza watu huwa hawamkubali labda wakae nae kwa mda mrefu cna.ingawa udhaifu wake mkubwa ni kuchukia hovyo na nakiri kuwa sura yake sio nzuri cna ila hili sasa limezidi.nilimpeleka kwa wazazi baba akampenda ila mama na wadogo zangu walisema nimeleta kimeo,nilijaribu kuwauliza wazee walionizidi umri wengi walisema anafaa kuwa mke ila kwa upande wa vijana wenzangu wengi walinipa 0%.sasa cjajua kama ni vitabia vyake vya ndani au cjui nimpeleke maombi ingawa ni mmbishi kwa ushauri.nishaurini wana jf nifanyaje;ingawa tulishawahi kuachana kwa sababu ambazo ckuzipenda.kitabia ni mtulivu cna na ana roho ya utoaji na hata kuwapa wazazi wangu pesa si tatizo.
Nawakilisha;
natumai ni wazima wa afya njema;nina mchumba (elimu ya chuo)ambaye tuna miaka takribani miwili sasa.ila toka nianze kuwa nae mara nyingi watu wangu wa karibu wa kike na wakiume huwa hawamkubali cna na hata nikimleta kwa watu kwa mara ya kwanza watu huwa hawamkubali labda wakae nae kwa mda mrefu cna.ingawa udhaifu wake mkubwa ni kuchukia hovyo na nakiri kuwa sura yake sio nzuri cna ila hili sasa limezidi.nilimpeleka kwa wazazi baba akampenda ila mama na wadogo zangu walisema nimeleta kimeo,nilijaribu kuwauliza wazee walionizidi umri wengi walisema anafaa kuwa mke ila kwa upande wa vijana wenzangu wengi walinipa 0%.sasa cjajua kama ni vitabia vyake vya ndani au cjui nimpeleke maombi ingawa ni mmbishi kwa ushauri.nishaurini wana jf nifanyaje;ingawa tulishawahi kuachana kwa sababu ambazo ckuzipenda.kitabia ni mtulivu cna na ana roho ya utoaji na hata kuwapa wazazi wangu pesa si tatizo.
Nawakilisha;