klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Ndo maana katoka kitambi ivuga, kumbe kacholi za deskmate? kulalekiivuga alikuwa anakula kacholi za mwali bila kulipa.
Ndo maana katoka kitambi ivuga, kumbe kacholi za deskmate? kulalekiivuga alikuwa anakula kacholi za mwali bila kulipa.
Dokta kaniambia nahitaji nilambe lambe chumvi ili kutatua ili tatizo.
unacheka?mwenzetu ana matatizo tena makubwa tu.Nataka nimuokoe na hili janga
Ndo maana katoka kitambi ivuga, kumbe kacholi za deskmate? kulaleki
Dokta kasema hakuna tiba mbadala zaidi ya kulamba chumvi, ata ile chumvi ya jukwaa la maria roza pia kasema inasaidia.basi haujatimiza masharti,na hata kama ungetimiza tatizo lako lingepoa kwa muda likarudi tena.Ninayo tiba mbadala,
sijui tumsaidieje shem wangu.
msaidie kwa kumwambia aniPM as fast as possible
Dokta kasema hakuna tiba mbadala zaidi ya kulamba chumvi, ata ile chumvi ya jukwaa la maria roza pia kasema inasaidia.
Kacholi za mwali inaonekana anaweka spice za mchina. Hata sweetlady naona makalio yake yameongezeka ghafla kama breaking newstena amenenepa hadi macho.
hehehe! Akikupm tu tatizo linaisha?
Kacholi za mwali inaonekana anaweka spice za mchina. Hata sweetlady naona makalio yake yameongezeka ghafla kama breaking news
nalog off,nawatakia usiku mwema
ndo maana pua yangu imeanza kufanana na mr.bean?now i know
hehehe na kamkono kameanza kuelekea south.
Kacholi za mwali inaonekana anaweka spice za mchina. Hata sweetlady naona makalio yake yameongezeka ghafla kama breaking news
waalabu wanakula sambusa?hizo sambusa za kiarabu za uporoto
waalabu wanakula sambusa?
hahahahahaha! Na mishavu imeumuka balaa. Ila viungo anaweka original bwana. Labda hao watu wanakula sana