Mliman city
kwa uhakika zaidi nenda town posta imalaseko
Kuna mzigo nataka niutume kwenda Mwanza,,,sasa ofisi za precision sizijui zilipo naomba anaejua anisaidie tafadhari
Kuna mzigo nataka niutume kwenda Mwanza,,,sasa ofisi za precision sizijui zilipo naomba anaejua anisaidie tafadhari
Unajua kingereza,wasi wasi wangu usije sweka lock up kwa kosa la kujaribu kusafirisha mzigo kwa kutumia kiswahili-heri tafuta mkalimani akusindikize
Kuna mzigo nataka niutume kwenda Mwanza,,,sasa ofisi za precision sizijui zilipo naomba anaejua anisaidie tafadhari……
Wapo kwenye jengo la Quality Plaza, Nyerere road.Kama unatokea K'koo ama Posta mpya panda magari ya Gongo la Mboto then shuka kituo kinaitwa Ngozi.Ni kituo kinachofuata baada ya mataa ya Chang'ombe.Kama sehemu uliyopo kuna magari ya Tandika ama Temeke wewe panda hayo hayo shukia kituo cha veta then tembea kwa mguu kama unayafuata mataa ya Chang'ombe pinda kushoto nyosha mbele na barabara ya lami mkabala na Nyerere road then kwa mbele utaona jengo la Quality Plaza ndo uingie humo.Kumbuka ni Quality Plaza na SIO Quality Center maana wabongo wengi wanachanganya majengo haya mawili
Mliman city
Naenda Samora Avenue, jengo la shirika bima. Ni karibu na habari maelezo. Ukifika hapo kuna wauza magazeti waulize. Ni jengo la bima makao mkuu opposite na NMB bank house.
Posta karibu na Nmb kama unaelekea life house bima upande wa kulia kama sijakosea utaiona ofisi ya precision