maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,159
- Thread starter
- #41
Hizi gari kikubwa watu walichokua wanadanganywa ni spea zake kwamba ni adimu kitu ambacho sio ishu tena kwa bongo...na kwakweli wasiozijua bado wanaziogopa,ila nakuhakikishia kwa gari ya juu mkuu hizi ni bomba sana mradi usipate yenye turbo ndio itakugharimu...kama umechunguza sasa hivi hizi gari ndio watu wameanza kuzinunua kwa wingi kuliko hata harrier na rav 4 kwa sababu wamegundua sio kama walivyokua wanaziogopaKila la heri. Ukipata mnunuzi naomba ulete feedback hapa jukwaani!