Anachonifanyia mke wangu kinaniumiza moyo sana, ushauri tafadhali

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
10,978
28,499
Kwanza nawasalimu,
Ndugu zangu mke wangu anachofanya ni hatari sana na inaumiza , wakati namchumbia hadi ndoa hakuwahi kujamba hata siku moja, sasa baada ya mwaka mmoja kwenye ndoa hii tabia ikaanza , Nikitoka kazini yeye akiniona tuu tukifika

chumbani anajamba, akaona haifai ikawa tukilala anajifanya tujifunike shuka pote hapo tena anajamba, anaweza akajamba hadi Mara tano kwa siku nikimuuliza anacheka eti anapumua, sasa nawaza sana juu ya hili sielewi hata nifanyeje ushauri wenu.
 
Kwanza nawasalimu,
Ndugu zangu mke wangu anachofanya ni hatari sana na inaumiza , wakati namchumbia hadi ndoa hakuwahi kujamba hata siku moja, sasa baada ya mwaka mmoja kwenye ndoa hii tabia ikaanza , Nikitoka kazini yeye akiniona tuu tukifika chumbani anajamba, akaona haifai ikawa tukilala anajifanya tujifunike shuka pote hapo tena anajamba, anaweza akajamba hadi Mara tano kwa siku nikimuuliza anacheka eti anapumua, sasa nawaza sana juu ya hili sielewi hata nifanyeje ushauri wenu.
Duh ngulumbili bwana tuna vituko,sasa kujamba kwa mkeo unaleta huku
 
imekuwa proven scientifically, mpenz ambaye anaweza jamba mbele ya mwenzie ni muwazi sana kwake na ni muaminifu zaidi kuliko yule asiyejamba
mkuu shukuru kwa hilo, ila ongea nae atleast apunguze 5times/day ni nyingi sana
 
Ni hasara iliyoje kwa mwanamke mwenye kujiheshimu na kujitunza kuolewa na mwanamume kama huyu........

Mwanamume anayeshindwa kutofautisha mambo ya chumbani na ya aebureni......
Mwanamume anayeshindwa kushughulikia suala dogo kama hili anawezaje kumudu mikiki mikiki ya kuisimamia familia kama kiongozi wa familia..........!!??

Hii ni ishara kuwa wanaume wenye sifa za kuoa wamepungua kama sio kuisha kabsa.....bali wapi wanaume wanaoweza kuishi na wanawake....na ndio maana wanawake werevu hawaoni umuhimu wa kuolewa siku hizi ikiwa waoaji wenyewe ndio hawa.....

Hili jambo lilikuwa rahisi tu la kuzungumza na mkeo....pengine anaumwa....au kuna mila za kwao zinazomfanya aamini kuwa kumfanyia hivyo mumeo kunamfanya ampende zaidi....!!!
Yote yanawezekana katika mazungumzo......

Sasa unapokuja huku kututaka ushauri wakati...anayejamba ni mkeo na wewe ndio unayeishi naye...na kero unaipata wewe sasa sisi tukushauri nini...!??
 
Mkeo huchukulia maskhara kwadhana yakuwa mume una maskhara, kumbe mume we nikauzu...!
Hata mke akiamua kukukatikia mauno ili umsifie, we utanuna.
Tafuta njia nzuri ya upole yakumuelekeza ili asichukie.

##analeta maskhara mahali sio##
 
Ni hasara iliyoje kwa mwanamke mwenye kujiheshimu na kujitunza kuolewa na mwanamume kama huyu........

Mwanamume anayeshindwa kutofautisha mambo ya chumbani na ya aebureni......
Mwanamume anayeshindwa kushughulikia suala dogo kama hili anawezaje kumudu mikiki mikiki ya kuisimamia familia kama kiongozi wa familia..........!!??

Hii ni ishara kuwa wanaume wenye sifa za kuoa wamepungua kama sio kuisha kabsa.....bali wapi wanaume wanaoweza kuishi na wanawake....na ndio maana wanawake werevu hawaoni umuhimu wa kuolewa siku hizi ikiwa waoaji wenyewe ndio hawa.....

Hili jambo lilikuwa rahisi tu la kuzungumza na mkeo....pengine anaumwa....au kuna mila za kwao zinazomfanya aamini kuwa kumfanyia hivyo mumeo kunamfanya ampende zaidi....!!!
Yote yanawezekana katika mazungumzo......

Sasa unapokuja huku kututaka ushauri wakati...anayejamba ni mkeo na wewe ndio unayeishi naye...na kero unaipata wewe sasa sisi tukushauri nini...!??
Swadakta
 
Kila mmoja wetu kwa wakati fulani huhisi kuvimbiwa na gesi
nyingi tumboni. Suluhu ya pekee hapa huwa ni kujamba ili kupunguza gesi hiyo tumboni Sasa Wanayansi katika chuo kikuu cha Exeter, nchini Uingereza, wanasema kuwa wamegundua harufu mbaya kama vile ya kujamba japo
inachukiza kwa pua, ina manufaa
makubwa kwa afya ya binadamu. Wanasayansi hao wanasema kuwa
harufu hiyo mbaya inaweza kuwa
kinga dhidi ya magonjwa ya moyo na
akili na hata Saratani. Gesi au harufu mbaya ambayo hutokana na chakula kinachosagwa
tumboni mwako inaweza kulinda
baadhi ya viungo vya mwili wako. Ndio! athari ni kile ambacho
unakidhania: Eti watu wanauchukulia
utafiti huu kumaanisha kuwa harufu mbaya inayotokana na mtu kujamba inaweza kuzuia magonjwa fulani mwilini kama vile Saratani. Utafiti huo uliochapishwa katika
mtandao wa chuo kikuu cha Exter
uligundua kuwa gesi hiyo inayojulikana kama Hydrogen Sulfide ambayo pia hupatikana katika Mayai yaliyooza, inaweza kuwa muhimu katika kutibu baadhi ya magonjwa.
 
Inaonekama kuna mawili hapa.Kwanzaa utakuwa una tabia ya kununa nuna hivyo akiachia shuzi hasa wakati mmejifunika shuka itakufanya uongee tu upende usipende.La pili gumu kusema ila mchunguze vzr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom