Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
Amri ya kwanza, Watu: Tunaamuru ndugu zetu walioshikiriwa katika vituo mbalimbali vya police kwa kosa la kutoshiriki zoezi la sensa ya watu na makazi tunataka waachiliwe mara moja na tena bila masharti yeyote?
Government: Igweeeeeeeeeeeeeeeeee
Amri ya pili, watu: Tunataka Shekh Fareed ambaye haonekani awe anaonekana ndani ya masaa 26 na asipoonekana mtatutambua
Government: Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Amri ya tatu, watu: Tunaamuru..............................
Government: Ig.............
Tutafika?
Government: Igweeeeeeeeeeeeeeeeee
Amri ya pili, watu: Tunataka Shekh Fareed ambaye haonekani awe anaonekana ndani ya masaa 26 na asipoonekana mtatutambua
Government: Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Amri ya tatu, watu: Tunaamuru..............................
Government: Ig.............
Tutafika?