stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,433
- 3,039
Samia atapata tabu sana 2025, labda asigombee
Hana ubavu wa kuweza kushindana na yule dogoHahaaaaaa maisha yana siri nyingi sana. Alimbabaisha jamaa alipokiwa kwenye ziara Mwanza. Please,Amos Makalla ziara ya kwanza ya jujenga chama nenda Arusha please.
Uchaguzi utakuwa mtamu Sana na hakuna mambo ya Kupita bila Kupingwa 😂😂Mtoto ya mujini... hopefully tutakula pesa kama enzi zile akiwa mweka hazina 😂😂😂
Sina hakika johnthebaptist kama ni mzima kichwani...Ccm inafanya kwa kazi kwa ajili ya chadema au matakwa yake kwa watanzania?
Hamna jipya kivipi mkuu?Hamna jipya
Anza kutamani kuona ufalme wa mbinguniNakutamani
Ukitenguliwa piga kimya usijifanye mtu wa mafumbo kama muimba taarabHapi karudi,kwel ccm hawana viongozi wanarecycle makapi yaleyale
Yes, huyo awe makini, tena sana.Hapo sawa isipokuwa Ali Hapi anatakiwa aendelee kuwa makini na kusikiliza maelekezo ya wazee!!!!
Na ndiyo kinachomsumbua hicho. Azingatie maneno ya mkwere anaposema "mgombea wa ccm 2025 atakuwa Samia, labda mambo yaharinike sana"Samia atapata tabu sana 2025, labda asigombee
Nadhani atashindwa kufanya vema kwenye nafasi yake kwasabb atakuwa na uwoga wa wa kujaribu ili asiharibu akarudi kupalilia nyanya.Yes, huyo awe makini, tena sana.
Natamani avatar yakoAnza kutamani kuona ufalme wa mbinguni