Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 79
Amos Makala awashukia Mbowe na Dr Slaa kwa ufisadi
Mweka hazina wa CCM Amos Makala ameendelea na mkakati wake mahiri wa kuisafisha CCM. Leo katika mkutano wake na wanachuo wa IFM ameisafisha CCM kuwa haihusiki na ufisadi na kwamba CHADEMA ndio chama chama cha kifisadi. Amesema Mbowe na Dr Slaa wametia mfukoni mwao shilingi milioni 78 zilizokuwa zinunuliwe pikipiki kwenye uchaguzi wa mwaka 2005. Amewaeleza wanavyuo kuwa CHADEMA ni chama kinachochea migomo katika vyuo vyao kwa lengo la kumondoa Kikwete madarakani. Ameyasema hayo akizindua tawi la CCM la wanachuo wa IFM katika Ukumbi wa Karimjee
PM
Mweka hazina wa CCM Amos Makala ameendelea na mkakati wake mahiri wa kuisafisha CCM. Leo katika mkutano wake na wanachuo wa IFM ameisafisha CCM kuwa haihusiki na ufisadi na kwamba CHADEMA ndio chama chama cha kifisadi. Amesema Mbowe na Dr Slaa wametia mfukoni mwao shilingi milioni 78 zilizokuwa zinunuliwe pikipiki kwenye uchaguzi wa mwaka 2005. Amewaeleza wanavyuo kuwa CHADEMA ni chama kinachochea migomo katika vyuo vyao kwa lengo la kumondoa Kikwete madarakani. Ameyasema hayo akizindua tawi la CCM la wanachuo wa IFM katika Ukumbi wa Karimjee
PM
Last edited by a moderator: