Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #61
mkuu kumbuka ahadi ni deni na hii ahadi ni ya kimaandishi ujue...haya ngoja mtoto aje mwenyewe hapaMkuu Saint..... mtoto Aminata akikubali..natoa Ofa pale Coral Beach...Nite. moja..na ofa ya kwenda Bongoyo au Mbuja...Aminata..Punguza Vigezo na Masharti basi ....