Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!
tupo pa1 Cheusi....bado nafikiria cjui hata hiyo dinner utayaanzaje hayo maongezi...na kwa mila zetu hizi big no, hapo hata kama mkaka na yeye tamaa itamsukuma lakini mbeleni atakuja kukupa ile"c ulinifata mwenyewe"...achia mbali hiyo lakini bado nadhani jamaa atakuwa na wewe kimachale machale vile, mbona kuna njia kibao za kumuhamacsha aanze kuongea mwenyewe?