Ameuteka Moyo Wangu!!!!

nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!

tupo pa1 Cheusi....bado nafikiria cjui hata hiyo dinner utayaanzaje hayo maongezi...na kwa mila zetu hizi big no, hapo hata kama mkaka na yeye tamaa itamsukuma lakini mbeleni atakuja kukupa ile"c ulinifata mwenyewe"...achia mbali hiyo lakini bado nadhani jamaa atakuwa na wewe kimachale machale vile, mbona kuna njia kibao za kumuhamacsha aanze kuongea mwenyewe?
 
mi mwenyewe nilifatwa na nikaelezwa..... dada wa watu akasema kweli yote iliyo moyoni mwake

nikamwambia haina shida kwa mbali hata mimi nilikuwana nasikia vibration kwako.......tayari nanae ndani... tumeoana....mwezi wa kwanza mwakani natarajia kupata mtoto.... mfate umwambie dada yangu...... SIFA YA MOYO NI TAMAA (nzuri au mbaya)
 
tupo pa1 Cheusi....bado nafikiria cjui hata hiyo dinner utayaanzaje hayo maongezi...na kwa mila zetu hizi big no, hapo hata kama mkaka na yeye tamaa itamsukuma lakini mbeleni atakuja kukupa ile"c ulinifata mwenyewe"...achia mbali hiyo lakini bado nadhani jamaa atakuwa na wewe kimachale machale vile, mbona kuna njia kibao za kumuhamacsha aanze kuongea mwenyewe?

ziweke hadharani Nyamayao hizo njia ili BJ afaidike!!!!!!
 
tupo pa1 Cheusi....bado nafikiria cjui hata hiyo dinner utayaanzaje hayo maongezi...na kwa mila zetu hizi big no, hapo hata kama mkaka na yeye tamaa itamsukuma lakini mbeleni atakuja kukupa ile"c ulinifata mwenyewe"...achia mbali hiyo lakini bado nadhani jamaa atakuwa na wewe kimachale machale vile, mbona kuna njia kibao za kumuhamacsha aanze kuongea mwenyewe?

Orait orait nyama mzima wewe lakini
 
Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah

kuanza akikubali dinner,tayari huko huko lazima yeye ndio atakuanza..hahahaah,wanaume wa kiafrica wenyewe ndio wanawatoa watu dinner ...,ukiwatoa that means unamtaka.!..he will definetely make his move tonight...dont worry...lol......wewe ni kumualika tu for dinner,the rest will follow....naturally:embarrassed:
 
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote:)))

Kuwa makini maana tayari inaonyesha una mtamani labda yeye hakufeel kabisa unaweza ishia kumegwa tu na jamaa akachapa rapa na kukuachia maumivu ya kidonda ndugu ukaja kujuta kupenda na ukatuchukia wanaume wote duniani
 
nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!

Usipo piga sala ya usiku kumbe huwa unamwaga mapoint ya nguvu namna hii duh

Ule mvinyo mbado nausubili X.mass
 
Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah

kuanza akikubali dinner,tayari huko huko lazima yeye ndio atakuanza..hahahaah,wanaume wa kiafrica wenyewe ndio wanawatoa watu dinner ...,ukiwatoa that means unamtaka.!..he will definetely make his move tonight...dont worry...lol......wewe ni kumualika tu for dinner,the rest will follow....naturally:embarrassed:

halafu wewe.........!!!!hebu ingia kwa PM kidogo>
 
Hivi Dena kwa BE ilikuwa staili hiyo pia ni swali tu nimeuliza

Staili gani Dena alitumia kwa BE??!!


nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!

Mpenzi Cheusimangala, nitaenda pole pole kwa vitendo angalau labda atayasoma matendo na ku-connect nami.. Shukrari bi'dada kwa wasaa wako..


mwaya usimueleze jikaze tu ila kuwa nae karibu ili ujue nae anahisia zozote na ww au,unajua siku hizi wanawake tumekuwa warahisi sana unaweza kumueleza akaona nawe ndiyo walewale so avunjike moyo kabisa please jikaze my dear ushauri wa cheusi mangala pia muhim

Sawa shosty..hilo kweli naliogopa kuniona sijaseto kumbe kweli moyo umemwangukia..asante nitajikaza kisabuni na kuweka msisitizo kwa vitendo vichache ili asinihukumu direct.

Mtoe out usiku, usiongee mengi, kuwa msikivu zaidi, msifie, mwambie unapenda uwe na mtu kama yeye... ataelewa somo[/QUOTE
Kwahiyo niongee tu general ila nisimwambia kuwa nimemfia yeye?!..Hii pia ni njia nzuri ya kuiweka akilini, thanx

tupo pa1 Cheusi....bado nafikiria cjui hata hiyo dinner utayaanzaje hayo maongezi...na kwa mila zetu hizi big no, hapo hata kama mkaka na yeye tamaa itamsukuma lakini mbeleni atakuja kukupa ile"c ulinifata mwenyewe"...achia mbali hiyo lakini bado nadhani jamaa atakuwa na wewe kimachale machale vile, mbona kuna njia kibao za kumuhamacsha aanze kuongea mwenyewe?
Nyamayao besti, nimekusoma kama Cheusi..sasa nipe hizo njia ili nisiende straight kwa point ili akanihukumu vibaya..Sitaenda spidi, nitajie hizo njia mana kweli nampenda na ana kila sifa niitakayo kwa mwanaume kwa nilivyomuona

mi mwenyewe nilifatwa na nikaelezwa..... dada wa watu akasema kweli yote iliyo moyoni mwake

nikamwambia haina shida kwa mbali hata mimi nilikuwana nasikia vibration kwako.......tayari nanae ndani... tumeoana....mwezi wa kwanza mwakani natarajia kupata mtoto.... mfate umwambie dada yangu...... SIFA YA MOYO NI TAMAA (nzuri au mbaya)

Yani unabahati sana na nimefurahi kusikia hukumfikiria vibaya huyo dada..Aisee, hongera na kila la kheri kwenye ndoa yako..thanx


ziweke hadharani Nyamayao hizo njia ili BJ afaidike!!!!!!
Haswa Bacha, namsubiria Nyamayao anipe mwangaza..hii ni mara ya kwanza nimepatwa na hii hali
 
BJ mie ni mwanaume, nakushauri hivi,
1.Mwombe Mungu aepushe brabra zozote za ujana na Shetani.
2.Ongea na spritual chaplain wako,au pastor/priest, mwambie hiyo scenerio,
3.muulize dhehebu lake,au kama unlijua mwombe mwende kwa huyo chaplain awaunganishe..
N.B...Fanya yote hayo baada ya kujiridhisha kuwa anaelekea kwenye anga zako......pia ushauri wa wadau hapo juu ka SINIORITA ni mzuri...ukifanikiwa usisahau kurudi na kumwaga mambo hapa jamvini........au nifikirie na mie,,,
 
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?

NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote:)))
Belinda Jacob, nakuonea raha sana, lazima niwe mkweli kwako, wewe ni miongoni mwa wadada wa humu JF ambao mimi ninawazimia, sikuthubutu hata kufind out kama uko single au la kwasababu It would have made no diference.

Now that you have found love, if he is the choice, please choose your love and love your choice.

Be a modern girl, you can be the initiator usisubiri mpaka yeye ndio akuanze, unaweza kumuanza kwa kumpa ivitationfor lunch, muonyeshee unapenda kuwa karibu nae, ukikutana nae mpe comliments za hapa na pale kama you look good, I like your choice of colour, mkiongeoa nae fikia kiwango unamuona he is easry to talk to, kama kwa yote hayo hajaonyesha dalili yoyote, nenda advance stage.

Toka nae for dinner, try to be as close as you can ili kuamsha spark, ukiweza mshike mkono, crack simple jokes to make him an easy, mkaribishe kwako na kujiachia as free as posible kumpa dalili zote kuwa you are available for him. Kama baada ya yote hayo hata respond, then, he has no spark for you, he is not your man, keep him just as good friends and the spark may grow and love may blossom.

Don't be disapointed na slow response, wanaume wengine ndivyo walivyo, lazima waanze wao, and if that will be case, wewe pia ndio utakuwa kichwa cha nyumba. Amini usiamini, asilimia 80 ya wanaopandishwa altareni, ni mwanamke ndio huwa anajionyesha she is a wife material na wengi huwa wanapressure kutaka ndoa, ndipo nasi hukubali.

This might be your opportunity, seize it!
Go Belinda Go!.
 
worry not.
iwe pale pale kama destination imebadilika itakula kwako!

Mi pale ni kama home haipiti siku sijatia maguu pale.

Vp unamwambiaje BJ avunje ukimya alonge nae? Akilonga nae jamaa ataishia kupanua shimo alafu anakula kona
 
Dena Amsi nina wakati mgumu sana..ipi bora kumtext au live? au nifanye viji-actions kama kutoka wote anaweza kuwa connected na yeye?

Haya mambo ya kuogopa ndo yanaleta shida we mwaga radhi bwana mwambie akikataa poa tu kwani ye nani bwana kukataliwa kawaida lakini hutakuwa na dukuduku moyoni na mapenzi yatakwisha kabisa. Ukitext ataona unamwogopa wewe mvae live ndo poa bwana ataona haya. Ila mcheki jamaa mwenyewe kwanza kwa undani isije ikawa ndo wale ukimwambia anaanza kutangaza kanitaka yule kimepanda kimeshuka
 
Belinda usipate tabu kabisa mbona m2 mwenyewe ndio mm, ujumbe umeshafika sasa naufanyia kazi nakuomba out weekend hii

Thanks kwa kufikisha ujumbe wako hapa jamvini
 
Back
Top Bottom