Ameniacha Na Kwenda Kwa Mwanaume Mwingine Baada Kuishi Naye Muda Mrefu. Nifanyaje?

Infinite_Kiumeni

JF-Expert Member
Jan 23, 2023
382
666
Mwanamke hupenda na kuacha kupenda taratibu.

Ukiachana na mwanamke kicheche au kuwa anakulipizia baada ya wewe kumsaliti, mwanamke mpaka akuache lazima kuna sehemu ulianza kutetereka. Akakuvumilia akiamini utabadilika lakini wapi. Sasa amekuacha unaona ghafla lakini kamwe sio ghafla alianza taratibu ila haukumsoma vizuri. Pengine alikua anakuambia kabisa lakini ulikua haumtilii maanani.

Chanzo kikubwa cha kutetereka ni kubweteka.
Hii ni pale ambapo unaona umeshampata mwanamke (/mke) hivyo huna haja ya kuhangaika kwa kuwa unaona umeshaweka chombo ndani. Inawezekana umepunguza kumpeti tena kama zamani, au umemuachia uongozi yeye wa kufanya maamuzi. Mfano, kumuuliza maswali kama “leo twende wapi mpenzi” wakati we ndo inabidi uchague pa kwenda naye. Atakusaidia uongozi kwa muda lakini hatoufurahia, mana ameumbwa kuwa mfuasi wa kiongozi na sio kuwa kiongozi wa mhusiano.

Hivyo ni muhimu kujiangalia kwanza kabla ya kumlaumu mwanamke.
.
Okay, limeshatokea nini cha kufanya?
Cha kwanza, kata mawasiliano naye, USIMTAFUTE kutaka kujua chanzo cha kukuacha au amekula nini leo. Mwache maana ameshafanya hayo maamuzi, pia hata huyo aliyenae saivi akitetereka atakutafuta tu wewe.
Pata muda wa kupoza moyo. Ila jitahidi hayo maumivu yasikuendeshe mpaka watu (hasa huyo mwanamke) kuona umeanza kuchanganyikiwa.

Usitafute mwanamke kwa kulipizia kuachwa ila tafuta mwanamke kwa lengo lako kujenga naye maisha.
Pili, mrudie Mungu, na umwombe akupe baraka upate amani na mwanamke atakayekupa amani.
Tatu, jiendeleze kazini, tunza mwili wako na kufurahia maisha.

Hakikisha hata kama ni ngumu vipi mpotezee, mana tayari amekuonesha alivyo, je ungependa uendelee naye kwenye ndoa baada ya kukuonesha alivyo?

Inawezekana huyo ameondoka ili aje mwanamke bora zaidi, hivyo usikate tamaa kwa kuwa utampata aliyebora zaidi yake, cha muhimu ni kujiendeleza.

Nikutakie weekend njema na maandalizi mema ya wiki ijayo.
 
Ukiona na wewe unamsaliti ujue hakua mtu sahihi kwako. Kama hujawahi pata mwanamke ambae huoni vibaya kumsaliti basi huyo sio sahihi. .

A hana na slogan za fundi bishoo anashawishi tukatae ndoa ili awachalache mademu vizuri unaowakataa


KUBALI NDOA
NDOA NI IBADA
NDOA NI MAENDELEO
NDOA NI MAISHA. .
 
Ukiona na wewe unamsaliti ujue hakua mtu sahihi kwako. Kama hujawahi pata mwanamke ambae huoni vibaya kumsaliti basi huyo sio sahihi. .

A hana na slogan za fundi bishoo anashawishi tukatae ndoa ili awachalache mademu vizuri unaowakataa


KUBALI NDOA
NDOA NI IBADA
NDOA NI MAENDELEO
NDOA NI MAISHA. .
WRONG...

Kataa ndoa sababu...

1:Ndiyo ndoa ni ibada ya kumuabudu mwanamke maana utaoa mtoto wa mtu unamleta nyumbani
a)unamuabudu
b)unamnyenyeke
c)unamlisha.
d)unajizuia kumuuzi na kutafuta kila namna kumfurahisha..
e)unawajari ukweni...
f)Unampendezesha anapita mtaani na gari ulilomnunulia muosha magari anamtamani anamuoshea gari bure anamt@mb@

2:Ndoa ni kishusha maendeleo
a)ulipokuwa single bajeti ya siku chini ya 5000 akija ke ukishusha sana 15,000 utajenga kweli...
b)Siku hizi kuanzia nywele hadi kucha za miguuni ni za kununua 😅😅😅

3:Ndoa siyo maisha (kila kitu)..

Kwa tafiti za haraka haraka kwa karne hii kama unataka kufa mapema wekeza moyo wako kwenye ndoa 100%....muamini huyo mwenza wako uone...

N.b ...Matajiri wote wakubwa wamefukuza wanawake wewe ni nani na vijisenti vya mkaa hivyo
1:Bill gate
2:Jeff
3:Elon musk
 
Kiufupi mwamba anatombewa muda huu daa inauma sana ila mwamba huyo manzi achana nae kabisa nayeye ataumizwa kama alivyokuumiza.
 
Ukiona na wewe unamsaliti ujue hakua mtu sahihi kwako. Kama hujawahi pata mwanamke ambae huoni vibaya kumsaliti basi huyo sio sahihi. .

A hana na slogan za fundi bishoo anashawishi tukatae ndoa ili awachalache mademu vizuri unaowakataa


KUBALI NDOA
NDOA NI IBADA
NDOA NI MAENDELEO
NDOA NI MAISHA. .
Porojo tu hizo

KATAA NDOA NI WIZI
 
Ukiona na wewe unamsaliti ujue hakua mtu sahihi kwako. Kama hujawahi pata mwanamke ambae huoni vibaya kumsaliti basi huyo sio sahihi. .

A hana na slogan za fundi bishoo anashawishi tukatae ndoa ili awachalache mademu vizuri unaowakataa


KUBALI NDOA
NDOA NI IBADA
NDOA NI MAENDELEO
NDOA NI MAISHA. .
The purpose of marriage is not to make women happy, or to make men happy.

The purpose of marriage is to ensure that every child is born into a situation where they will have easy access to their mother and a father.
 
The purpose of marriage is not to make women happy, or to make men happy.

The purpose of marriage is to ensure that every child is born into a situation where they will have easy access to their mother and a father.
Why not to make women happy? Marriage is two way street. You give and receive for both men and women. Even God said we should give Adam a HELPER, a woman as Adam was lonely in the garden of Eden. .
 
Back
Top Bottom