chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Habari wana jf hili tatizo limemtokea bro wangu alioa mwaka 2010 kabla ya kumuoa mwanamke alionekana ana heshima sn baada ya kuoa niliona kutokana na life ulivyongumu bro akaamua amtafutie biashara ya kufanya akamfungulia duka la nguo hapo ndo visa vikaanza mama mkwe alikua anakuja pale home anamchukua mwanae bila ya taarifa bro anamuona mwanamke anajiandaa anatulia sitting room akiulizwa unatoka?anajibu nipo tu muda ukifika gari inakuja nje ya nyumba inapga honi tukifungua mlango tunakuta mama mkwe yupo kwenye gari hataki hata kuingia ndani mwanae anatoka wanaondoka bila kusema wanaenda wapi night kali anamrudisha nikawa one day hasira zikizidi anampga hapo ndo akapata saba