Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
kijana hao mademu sio type yako matawi ya juu.....Haitishi chochote....kwanza hakuna demu wa maana ktk hiyo list....
kijana hao mademu sio type yako matawi ya juu.....Haitishi chochote....kwanza hakuna demu wa maana ktk hiyo list....
Ukweli unabaki palepale janga la ukimwi mpaka kieleweke, mrudieni Bwana awanusulu mnaohusika poleni sana
Statistics zinaonyesha malaria inaua watu wengi kuliko ukimwi
mtu akipata vvu mnaona tayari marehemu , mbona wengine wanadunda hata huyo liyumba bado anadunda
jamani dunia tunapita kufa tutakufa tu
kijana hao mademu sio type yako matawi ya juu.....
Statistics zinaonyesha malaria inaua watu wengi kuliko ukimwi
mtu akipata vvu mnaona tayari marehemu , mbona wengine wanadunda hata huyo liyumba bado anadunda
jamani dunia tunapita kufa tutakufa tu
Its unbelievable, but as one of us said.Let no one point finger to another but Judge yourself and see if you are a perfect human being. For sure everyone will die its just a matter of time and not the cause of death
Sidhani kama kuna haja ya kuwajadili hawa. Cha msingi hapa ni kuendelea kuzuia maambukizi. It begins with you...!!!
Sidhani kama kuna haja ya kuwajadili hawa. Cha msingi hapa ni kuendelea kuzuia maambukizi. It begins with you...!!!
Kwa taarifa yako hii orodha imekwishapita kwa watu wengi hadi ilipofika kwangu na kuamua ku-publish hapa(siyo siri);hata kama jina langu lingekuwepo ningeichapisha tu,ila sina mke hadi hivi sasa.Hii ni kuchachafuana tu na kuiga utamaduni ambao wanatanzania hatukua nao.Hii technology ya habari nadhani kwa baadhi ya walio wengi hawajui nini madhumuni yake,na sasa tumegeuza ni sehemu ya kuchafuana na kuandika chochote mtu anachojisikia kuandika.Hata kama kweli kwenye hiyo orodha wapo walioenda liumba,wewe umejuaje???????hao uliooredhesha hapo chini wenye pesa ni kwamba wanakutia uchungu wewe huna!!!!!!ni vizuri hii blog ikatumika kuelemisha jamii badala ya ya uchafuzi wa majina ya watu,KIUYAJIBU jana lako lingekuwa hapo ungeleta hiyo orodha hapa?au umedelete lako na la mkeo kwanza???
Sidhani kama kuna haja ya kuwajadili hawa. Cha msingi hapa ni kuendelea kuzuia maambukizi. It begins with you...!!!
-....
- I happen to know a few of young ladies in this list, and one of them is my neighbour, trust me, AL was a regular visitor on this young lady's home. What worries me most is that she was/and still is seeing a lot of youngester "bongo super stars" at an alarming rate!
- PALY SAFE