Nilikuwa natokea Musoma kwenda Mwanza juzi jioni pale daraja la Simiyu ambalo ni kiungo muhimu sana kwa barabara ya Mwanza - Musoma tuliposhuka kwa ajili ya ukaguzi, nilidokezwa na waliokuwepo ya kuwa Dr. Magufuli kapiga kambi akifuatilia ukarabati wa daraja hilo ambalo hivi karibuni limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.