tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Every wea I go, they point on me. Everythng I do they know itz me....hii ni ngoma mpya ya Juma Mohamed Mchopanga aka mchox aka mo-techniques aka mo-fleva aka mbakiaji aka J-mo>>hii ngoma ni kali wadau, majani kasimama vilivyo ktk chorus na Jmo inaonekana kakua, cjamsikia akicfia bangi, japo anadai kagonga warembo weng zaid ya copy za Mamu.