TINGA TINGA
New Member
- Jun 7, 2011
- 4
- 1
Habari wana JF,
Siku hizi, japo kuna imani za kidini kuna wanaoamini kuwa ni vigumu kufunga pingu za maisha bila kuonja tamu ya asali. Siku zote Mimi nimekuwa miongoni mwa wanaopingana na huu mtazamo. Nimeishi maisha yangu yote kwa misingi ya malezi bora ya wazazi wangu na imani yangu kuwa ni marufuku kufanya hivyo mpaka siku hiyo maalum kwa baraka zote za mwenyezi Mungu. Nikatenda yote na nikafanya kweli, nikampata nimpendaye naye akawa na msimamo kuwa hakuna kuonja mpaka siku yenyewe. Nilivyompenda sikuwa na jinsi nikajikaza kiume mpaka siku hiyo.
Siku ikafika, na kila mmoja akafurahi. Muda ukafika wa kupata mtoto. Kadiri siku zilivyoenda nikagundua mapenzi yanahama slow but surely kutoka kwangu kwenda kwa mtoto. Nikajaribu kukaa na mwenzangu na kujaribu kumweleza hisia zangu, nikamweleza pia kuwa huwa ninafurahi tuwapo uwanjani ningependa A, B, C, ............ Nikajikuta napigwa maswali kibao, oooh, umepata kujua wapi hayo, hizo style umepata wapi, umejifunza wapi. Duh jamani nikajaribu kumweleza ukweli lakini hanielewi. Hataki hata kuona nikiwa na CD ya mambo yale, tukiangalia TV hata tukiwa wawili tuu, akiona picha/movie inayomwonyesha msichana nusu uchi, au mashindano ya miss, anasema nibadili channel, tukiwa uwanjani hawezi kwenda zaidi ya mara moja, tena hunitangulia dk chache tuu kashamaliza, then ananiambia nimalize tuu kashachoka (tena kabla yangu mimi mwanaume, wakati mimi namfanyia kila kitu) na hataki manjonjo, kulamba koni hawezi. I can stay even a month hata hatujakutana na yeye hajali anamaind kazi zake na majukumu tuu.
Ukweli baada ya muda nikajikuta nimeruka ukuta, na nilichokuta huko sina hamu tena ya kurudi ndani. Ukweli ninajikuta mtu wa mawazo tuu niko dillema niendelee kutoka nje (pia naogopa) na nisipotoka najiona highly stressed.
Siku hizi, japo kuna imani za kidini kuna wanaoamini kuwa ni vigumu kufunga pingu za maisha bila kuonja tamu ya asali. Siku zote Mimi nimekuwa miongoni mwa wanaopingana na huu mtazamo. Nimeishi maisha yangu yote kwa misingi ya malezi bora ya wazazi wangu na imani yangu kuwa ni marufuku kufanya hivyo mpaka siku hiyo maalum kwa baraka zote za mwenyezi Mungu. Nikatenda yote na nikafanya kweli, nikampata nimpendaye naye akawa na msimamo kuwa hakuna kuonja mpaka siku yenyewe. Nilivyompenda sikuwa na jinsi nikajikaza kiume mpaka siku hiyo.
Siku ikafika, na kila mmoja akafurahi. Muda ukafika wa kupata mtoto. Kadiri siku zilivyoenda nikagundua mapenzi yanahama slow but surely kutoka kwangu kwenda kwa mtoto. Nikajaribu kukaa na mwenzangu na kujaribu kumweleza hisia zangu, nikamweleza pia kuwa huwa ninafurahi tuwapo uwanjani ningependa A, B, C, ............ Nikajikuta napigwa maswali kibao, oooh, umepata kujua wapi hayo, hizo style umepata wapi, umejifunza wapi. Duh jamani nikajaribu kumweleza ukweli lakini hanielewi. Hataki hata kuona nikiwa na CD ya mambo yale, tukiangalia TV hata tukiwa wawili tuu, akiona picha/movie inayomwonyesha msichana nusu uchi, au mashindano ya miss, anasema nibadili channel, tukiwa uwanjani hawezi kwenda zaidi ya mara moja, tena hunitangulia dk chache tuu kashamaliza, then ananiambia nimalize tuu kashachoka (tena kabla yangu mimi mwanaume, wakati mimi namfanyia kila kitu) na hataki manjonjo, kulamba koni hawezi. I can stay even a month hata hatujakutana na yeye hajali anamaind kazi zake na majukumu tuu.
Ukweli baada ya muda nikajikuta nimeruka ukuta, na nilichokuta huko sina hamu tena ya kurudi ndani. Ukweli ninajikuta mtu wa mawazo tuu niko dillema niendelee kutoka nje (pia naogopa) na nisipotoka najiona highly stressed.