am new,natumaini nitapata ukaribisho mkunjufu kama ilivyo hulka ya ukarimu ya wabongo.
Nyabwire ndio nini? karibu ila kama jina lako ni tusi nawewe hivyo hivyo.
Na yale majina ya maeneo ya huko hasa Mwanza yana maana gani? Mfano:neno Nya lina maanisha binti fulani kwa hiyo huyo ina maana ni mtoto wa kike wa ndugu Bwire (Binti Bwire)
@sipo...nadhani si mimi,sijawahi ishi wala kusoma arusha...ila haimaanishi kuwa mimi si mkali pia,hahahaaaaaa
@nyamongo...asante kwa kunisaidia...ila mimi nilipewa hilo jina lilikuwa la bibi mzaa baba.
@wote wenye wasiwasi na jina.(maana)- ni chausiku linaendana na nyangeta pia!!!!!!
@Burn...kwanini nitumie jina kutukana wengine?tena hata nisiowajua wala kukiosana nami???au na wewe wafanya hivyuo????
@sipo...nadhani si mimi,sijawahi ishi wala kusoma arusha...ila haimaanishi kuwa mimi si mkali pia,hahahaaaaaa
@nyamongo...asante kwa kunisaidia...ila mimi nilipewa hilo jina lilikuwa la bibi mzaa baba.
@wote wenye wasiwasi na jina.(maana)- ni chausiku linaendana na nyangeta pia!!!!!!
@Burn...kwanini nitumie jina kutukana wengine?tena hata nisiowajua wala kukiosana nami???au na wewe wafanya hivyuo????