TINGA TINGA
New Member
- Jun 7, 2011
- 4
- 1
Jamani wana JF mimi nina tatizo moja kubwa maishani mwangu kuhusu wanawake na matatizo hayo ni kama ifuatavyo;
- Kila nikitafuta mwanamke najikuta niko na mchagga, matokeo yake nimejikuta natembea na wanawake wa kichaga kibao
- Killa mara najikuta ninapendana na wanawake wenye mzigo mkubwa i mean wowowo na maziwa ya nguvu
- Kila mwanamke ninayekutana naye ananitamkia kuwa anachanganyikiwa na mapenzi ninayompa na wengi wao wananitamkia kuwa anatamani afanye lolote liwalo ili niwe naye, now mimi naogopa asije akanifanyia black chemistry.