Am a job seeker

Du Bois

Member
Sep 29, 2011
6
2
Me ni graduate wa SUA nina Bachelor ya Agribusines and agrieconomics,.plz am seriously seekin job ,.if u hear one inform me.
 
Mkuu vipi hiyo elimu yako hauwezi kuitumia kujiajiri? ni razima uajiriwe?
- Mkuu mimi naamini SUA ni moja ya vyuo vinavyo yoa kozi nzuri sana za kuweza mtu kujiajiri,

- Mkuu kozi uliyo soma ni nzuri sana kujiajiri mimi mwenyewe na tamani ningesoma kozi kama hiyo ya kwako,

- Jaribu kukaa chini na kuja na Aidia ya kufanya katika kilimo,

- Utajisikiaje ukikaa mwaka mzima kutafuta kazi wakati una utalaamu wa kutosha kujiajiri?

MKUU NAAMINI UKIAMUA UTAWEZA NA UTAKUJA KUFANYA MAMBO MAKUBWA SANA,
 
Watanzania wangapi waliowezeshwa kujiajiri kama sio kuchanganyana tu? Shule yenyewe kasoma kiwa mkopo tena kwa maandamano ya kudai huo mkopo. Wapi nsasa apate mtaji? hebu tujadili point tuache utani.

Mshauri aende wapi akatafute huo mtaji kabla ya kumwambia ajiajiri
 
Sasa kama wasomi wataenda kugema mnazi eti point ni kujiajiri sasa ambao hawajabahatika kusoma wafanye nini!?
 
Sasa huo mtaji atatoa wapi?hata shamba la mbogamboga linahitaji mtaji.Tutoeni mawazo ya msingi.
 
Mi sipend tabia ya mtu ya kusema "JIAJIRI" UMENIPA CAPITAL NIKAKATAA...MI MWENYEWE NAWISH KUJIAJIR...
 
[When I Become a Big Boy
This is like the little boy who says when I become a big boy, I will do this and this and I will be happy. And when he becomes a big boy he says, when I finish college and do this and this and I will be happy. And when he finishes college he says when I get my first job and do this and this I will be happy. And when he gets his first job he says when I get married and do this and this and then I will be happy. And when he gets married he says when the kids get out of school and I do this and this I will be I happy. And when the kids get out of school, he says when I retire and do this and this, I will be happy. And when he retires what does he see? He sees life has just gone by in front of his eyes.]
 
nenda pale jangwani au msimbazi kuna kazi kibao za saidia fundi wanaojenga nyumba zilizobomoka kwa mafuriko, au hii njia ya tandale kwa mtogole kuna mafundi wa barabara wana nafasi kibao wanaweza kukupatia, kwa siku elfu 25, hapo unasave paka 13 kwa siku au 15....kazi ni kwako
 
nenda pale jangwani au msimbazi kuna kazi kibao za saidia fundi wanaojenga nyumba zilizobomoka kwa mafuriko, au hii njia ya tandale kwa mtogole kuna mafundi wa barabara wana nafasi kibao wanaweza kukupatia, kwa siku elfu 25, hapo unasave paka 13 kwa siku au 15....kazi ni kwako

Mkuu ushauri kama huu ni mzuri ila kutokana na mtu akisha kuwa graduate anaamini hawezi fanya kazi kama hizi, ila kuna siku tu
 
Mi sipend tabia ya mtu ya kusema "JIAJIRI" UMENIPA CAPITAL NIKAKATAA...MI MWENYEWE NAWISH KUJIAJIR...

-Tuache kusingizia CAPITAL KWAMBA ndo tatizo la watu kushindwa kujiajiri,

- Hapa Arusha kuna Rafiki yangu mmoja hivi ni muhindi na ni Geaduate, ila baada ya kuhitimu chuo yeye ameamua aanzishe biashara maalufu kama Baba lishe na anameki sana, huwa anafanya hii kazi jioni, Hela anayo tengeneza kwa mwezi ni mshahara wa Mkurugenzi ila C C WABONGO TUMEBAKI KUSEMA CAPITA CAPITAL
- Na huyu Muhindi lengo lake ni kukusanya mtaji na kufungua mgahawa mkubwa sana.

- JE NI GRADUATE GANI ANAWEZA ANZISHA BIASHARA YA BABA LISHE NA AKAWA NASEVU MWENYEWE?

- SISI TUTABAKIA KUSEMA MITAJI MITAJI WAKATI WENZETU WANABUNI KILA NJIA YA KUPATA MITAJI C C TUNASUBIRIA SERIKALI ITUPE MITAJI.
TIME IS COOMING, TUNA SINGIZIA MITAJI KWA SABABU SYSTEAM HAZIJABANA SANA ILA KUNA KIPINDI TUPENDE TUSIPENDE HATA ZEGE GRADUATE TUTABEBA TU, NI WA KATI NDO HAUJAFIKA NDO MAANA TUNAONA GRADUATE KUANZISHA BUSTANI YA MBOGA NI KUJIZALILISHA

 
Me ni graduate wa SUA nina Bachelor ya Agribusines and agrieconomics,.plz am seriously seekin job ,.if u hear one inform me.
unaweza kufundisha PCM au ECA kidato cha 5 sema upate kazi huku moshi utapata salary nzuri shule ya masister wa kihindi wanahitaji mwl
 
pumba kisa ni graduate sio?ebu nenda hapo nigeria uone ka graduates wa kule wanachagua kazi ka nyie wabongo.



mkuuasante sana,

ila nakuhakikishia hilila nigeria hata huku litafika tu? Mkuu ni muda tu.

- kwanza si nagerianenda kenya- kuna graduate wanafanya biashara ya umachinga, na tageti yakeakusanye mataji atoke

- hapa tanznaia etiukishwa itwa graduate basi wewe ni wa sayali nyingine kabisa.

time will tell

 
Tatizo ni mfumo,tuna mfumo wa elimu nadhalia,elimu tunayopata vyuoni haitujengi ktk misingi ya kuthubutu na kujiamini ikichangiwa na mazingira mabovu(mikakati mibovu ikiambatana na ukosefu wa mitaji) kwa anayethubutu na kujiamini.Tukubaliane tatizo ni kubwa kuliko lisemwavyo na litaendelea kuwa kubwa kama hakuna hatua zozote za makusudi zitakazochukuliwa.
Nini cha kufanya?
1.Mfumo wa elimu(kiujumla)uelekeze nguvu nyingi ktk kumjenga mwanafunzi kuthubutu na kujiamini na si huu wa kukalili,kujibu mtihani mwishowe kusubiri/tegemea kuajiliwa.
2.Kujitafutia fulsa(opportunities) mbalimbali.Sometimes wengi wetu hatuna idea ya nini tufanye,tufanyeje,tutafanikiwaje kwa njia zipi,everythng if u do sereously n properly is money.Swali naweza ulizwa wapi tukatafute fulsa?Ni kuongea na watu waangaikaji ktk maswala mbalimbali,kusoma vitabu vya ujasiliamali na mengneyo.
Ikiwa nafasi moja ya kazi inaombwa na wastani wa watu 400 ambao wote muna elimu ya vyuoni kwa mwaka 2011 basi nihisivyo mwaka 2013 itaombwa na watu 700.
..Ushauri wangu..
1.Kwa walio masomoni(level yeyote) TOENI DHANA YA KUAJILIWA VICHWANI MWENU fikiri unachasoma kitakusaidiaje kupambana na maisha KABLA YA KUAJILIWA(assuming KUAJILIWA KUMEFARIKI).Ila itakapotokea kabla hujaanza kulalamika njaa na ukapata bahati ya kuajiriwa hongera kwako na ni jambo jema japokuwa siwashauri mulifikirie hilo kwanza,kwa kuwa hapo ndipo tunapopotezea muda mwingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom