Kweli chadema mmeishiwa huyu bananga hata vidudu hakumaliza leo ndio anakuwa mgombea wenu na tena hapa dar hata hana makazi ya kuishi kwa mara ya kwanza aliletwa na Millya hapa mjini
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Idd | |
Middle Name: | Mohamed | |
Last Name: | Azzan | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Kinondoni | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 22227, Dar es Salaam | |
Office Phone: | +255 713 222201/+255 754 000349 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | +255 22 2170082 | |
Office E-mail: | iazzan@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 8 July 1965 |
Mbona na wewe unachekesha unamsahihisha mwenzio na wewe ni wale wale wenye paparaunapapara za kipuuzi, hariri mwandiko wako, ndio uuposti...nyie ndio mnakukosti
Kweli chadema mmeishiwa huyu Bananga hata vidudu hakumaliza leo ndio anakuwa mgombea wenu na tena hapa Dar! Hata hana makazi ya kuishi kwa mara ya kwanza aliletwa na Millya hapa mjini
Mbona na wewe unachekesha unamsahihisha mwenzio na wewe ni wale wale wenye papara
Kwani kuna mashindano ya mwandiko siku hizi JF. cheki humo kwenye bold za red