mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
hiyo tamthilia huwa wanatafsiri kwa kiswahili nianze kuiangalia?
ha hahaaaaaaaaaa cpu tatizo lako hujui hata kusoma nyakati!! yawezekana kachoka
CPU mie simo, ngoja lizzy akamwambie Michelle
Watakua wanashindia taarifa za habari na movie!Lizzy mwenyewe nimeshangaa!!
watu wako bussy wanasaka mahela tu, wakitoka kazini bar!! inaelekea hakuna anayewahi kurudi nyumbani!!!
Lizzy mwenyewe nimeshangaa!!
watu wako bussy wanasaka mahela tu, wakitoka kazini bar!! inaelekea hakuna anayewahi kurudi nyumbani!!!
Nikuite Michelle tu, kwani mi sioni vitu vizuri??!!!
Wasiokupenda ndo watakuita hivyo
naona hizi tamthilia zinawaharibu kina dada manake wanaiga na kujaribu kupractice kwa wapenzi wao mwishowe hujikuta wakiambulia kuchezewa. msisahau ss ni watanzania na tuna tamaduni zetu za kiafrika.......eeeeeh bora nsikilize radio maria tanzania ipo online kwenye net..
Tamthilia??? hapana aisee. niliangalia zamani sana days of our lives,passion egoli ila kwa sasa sina muda wa kufatilia kabisa.ngoja waje wataalam
Kwani wamuona mwenzetu!!!