Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 405
- 427
Ndugu yangu Vous kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa na unaijua siasa utaelewa kwamba yule jamaa hakuwa dhaifu ila alikuwa diplomatic leader aliyekomaa, alikuwa anajua kumlainisha kila mtu na ndio maana safari zake za nje zilituletea pesa za kutosha na zilituletea wawekezaji wakubwa wengi.Ndo uwaulize mbna hawakutoka mapovu tulikpokuwa na rais 'dhaifu' na ufisad kila kona?????
So umenitatiza kidogo na wewe kuona unatumia neno "dhaifu" kama wasioijua siasa au yawezekana na wewe sio mwenyeji kidogo wa hii mambo
Au jiulize mbona hawazisemi Zambia, Botswana, Ghana, Kenya na Nk ni kwa sababu uongozi wao unafuata ethics za kisiasa na wana diplomatic leaders wanaoheshimu katiba na haki za binadamu. Vyombo vya habari kazi yao ni kuripoti habari za ulimwengu mzima it doesn't matter kama zitawafurahisha watawala wa nchi husika au lah
Kama wamefanikiwa kuvidhibiti vyombo vya habari vya ndani viandike wanayotaka wao vya nje hawawezi.
Mtaishia kuvituhumu tu lakini ndio vyombo vinavyoweza kuripoti mabaya ya awamu hii.
Vya ndani si mmevitisha, vikiandika mabaya yenu, mnavifungia na kuwalipisha faini au kodi kubwa sasa unadhani taarifa mbaya nani ataripoti kama sio aljazeera, cnn na bbc.
Ebu viacheni vifanye kazi yao