Mkuu nasikia wameblock jwa Afrika nzima. Unajua matangazo ya aljazeera yanatakiwa kuonekana Middle East na Northern Africa only, yaani nchi za kiarabu tu, kwa iyo sisi wa chini ya jangwa la sahara tukae chonjo, au tuhamie DSTV ambao ndio wenye haki kwa Afrika ya kuonesha mpira
mkuu nasikia wameblock jwa afrika nzima. Unajua matangazo ya aljazeera yanatakiwa kuonekana middle east na northern africa only, yaani nchi za kiarabu tu, kwa iyo sisi wa chini ya jangwa la sahara tukae chonjo, au tuhamie dstv ambao ndio wenye haki kwa afrika ya kuonesha mpira