The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,466
- 17,308
Kwa wale wa penzi wa vichekesho na burudani.
Bwana Gibson Gathu Mbugua ambae alikua akiigiza kama mwendesha mashtaka Mkuu wa kipindi cha Vioja Mahakamani huko Kenya amefariki Dunia.
Kipindi cha Vioja Mahakamani kilikua kipindi cha vichekesho kilichokua kinarushwa na televisheni ya taifa la Kenya, KBC Chaneli 1.
Bwana Gibson ndie alikua mwendesha mashtaka mkuu wa hicho kipindi cha burudani.
Pumzika kwa amani bwana Gibson. Umenifurahisha sana enzi zako ukiwa na team yako kina olekzanda Josephat, Ondieki, Makoha, na wengine.