Aliyesababisha kifo cha Salome Mbatia akamatwa

Wenzenu siku hizi hata wakikaribishana "dinner" ati wameanzisha masharti lazima iwe kama buffet (tamka bufe..!) ili chakula kionekane kilipo na wote wachukue chakula hicho hicho.. mambo ya kuletewa chakula mezani hawataki tena...

wanaishi kiwoga woga tu..!
 
Wenzenu siku hizi hata wakikaribishana "dinner" ati wameanzisha masharti lazima iwe kama buffet (tamka bufe..!) ili chakula kionekane kilipo na wote wachukue chakula hicho hicho.. mambo ya kuletewa chakula mezani hawataki tena...

wanaishi kiwoga woga tu..!

Na kinywaji ni kwenye chupa anayoibeba mhusika hata kama anakwenda kuchimba mzizi.
 
Yaani, tumeanza kuishi sijui katika tanzania; Hivi majuzi kuna jamaa kafukuzwa kazi na anashindwa kupata ajira mahali popote bongo kwa sababu alimnyoshea kidole Msolla; jamaa ana PhD! Sasa ameamua kwenda nje ya nchi na jamaa ni mtaalam. Kila chuo anachoomba Bongo kuna maelekezo toka kwa wakubwa "do not hire him"... alipata nafasi Open University, kaanza kazi na order ikaja "mtimueni" na wakubwa wakatii.. na kumlipa wamegoma...
 
Msolla nuksi
alimnyima mtu u professor licha ya kuwa tayari Notice board ya SUA ilishamtangaza eti kwa vile alimualika Mzee Rashid Kawawa ktk siku ya kumkumbuka E.M.Sokoine
pale SUA
Bahati mbaya sana jamaa akapaa kama umeme mpaka ktk siasa za nchi ila Prof.Msolla na wenziwe bado wanakumbukwa kwa unyama waliomfanyia msomi mwenzao zama zile za mwanzo za kuachana na Chama kushika hatamu lakini leo eti naye ni kada wa CCM. Haya tunangoja kuiona CCM ya aina hii.
 
Yule dereva aliyehusika katika ajali ya Bi. Salome Mbatia na ambaye alikuwa ameajiriwa muda si mrefu kabla ya ajali ile na kutoweka kama mvuke na kutokomea kama "night crawler" wa matrix hakuacha hata vumbi? Hivi jina lake la kweli lilikuwa lile?

Huyu bwana alihusika na ajali ya Waziri ambaye kabla ya hapo aliwahi kushikilia nafasi ya Mweka Hazina Mkuu wa CCM wakati ufisadi wa EPA unatokea...

that is all sir, I was just thinking...

sorry to bother you.

kuna kitu kinashangaza siku Mbatia anapata ajali, jana yake walikuwa na Fredreck Sumaye Mjini iringa kwenye hoteli moja wanakutana na baadhi ya wajumbe wa Mkutano mkuu kutoka Iringa, mbona kwenye taarifa zote hakuna hata moja inayomtaja Sumaye kwenye ajali hii
 
Masikini wadanganyika tushasahaulishwa hii habari ilojaa utata na maswali mengi yasojibiwa! Kweli kigumu chama cha mapinduzi!
 
1. Ndani ya gari kulikuwa na shillingi millioni 200, zilizobaki baada ya kugawa mikoani, zilikuwa zimebaki kwa ajili ya mikoa kumi zaidi, kutafuta ujumbe wa NEC.

2. Wa kwanza kuyaona yote hata kabla ya Zitto, alikuwa waziri Mathayo.

3. Marehemu alimdanganya mkuu wake wa kazi waziri Sophia Simba, kuwa anakwenda kijijini kwao kuna ugonjwa wa wazee, Mume hakujua anything maana walikuwa kwenye dakika za majeruhi wakilekea kwenye divorce, baada ya mama kuanza kuwa kichwa mbele sana.

4. Dereva yupo, lakini under usimamizi mzito wa .........!


Mkuu hata mie sasa hii inanifanya niwaze mengi. Wajua nilijiuliza mengi wakati wa kufuatilia mazishi ya huyu mheshimiwa. Huyo mumewe namfahamu kwao ni Kirua Vunjo kule Moshi, na hata ripoti za awali zikasema huyo mama angezikwa kwa mumewe huko Kirua Vunjo (ndio taratibu za wachaga, mazishi ya mwanamke ni jukumu la ukoo wa mumewe, na hufanyika kwenye shamba la mume huyo). Lakini huyu nasikia alizikwa kwenye makaburi ya parokia huko Mbokomu (wala si kwa mumewe tena, sasa sijui huko Mbokomu ni kwa nani?). Labda ni sehemu ya tatizo la kifamilia analosema FMES?

Kingine, kutokomea kwa dereva wake wa ofisini siku ya safari (na ajali na kifo) kunahitaji maelezo, zaidi tu ya kuitaja kama "bahati" ya dereva huyo iliyomuepusha na kifo. Na dereva wa lori lililosababisha ajali ile hatujawahi hata kusikia jina lake! Wangetuambia tu jina lake hili na anatafutwa, ingesaidia kumkamata! Lakini inaelekea hawataki akamatwe! Au kuna nini kinafichwa hapa? Hebu tusaidiane kuunganisha vipande, nina hakika mwishowe tutapata majibu tu, puzzle hii inayo majibu miongoni mwetu.
 
]

Alibonyezwa kuwa marehemu yuko Mwanza, na sio kwao kwenye ugonjwa kama alivyomuaga, hawa walikuwa maadui wakubwa maana wote walikuwa na vigogo nyuma zao, akamtumia fax nzito sana ya kumuonya kuwa aache mchezo na kazi na arudi Dar haraka sana,

Siku mbili baadaye Sophia anajitayarisha kwenda SA, akaambiwa adui yake amepatwa na ajali mbaya amefariki, akazirai pale pale.....!

Mbatia has a child with EL and was not buried by her husband ..............
 
Wenzenu siku hizi hata wakikaribishana "dinner" ati wameanzisha masharti lazima iwe kama buffet (tamka bufe..!) ili chakula kionekane kilipo na wote wachukue chakula hicho hicho.. mambo ya kuletewa chakula mezani hawataki tena...

wanaishi kiwoga woga tu..!


Mkuu Mwenzangu, yaani hii umeniacha hoi duh, sasa hawa wakuu wasioaminiana, sisi wananchi tutawaamini kweli?
 
Back
Top Bottom