Aliyeongoza matokeo kidato cha 4; amshukuru Mungu

Haaa! hivi leo ndo wachaga wameongoza kwenye necta, manake this is a routine kwa watu from Mara na huwa hawaweki mabango.

Kuwa bright hakuna uchaga ukurya wala unyakyusa walisheni watoto wenu vyakula vinavyostahili kwa brain development then utaona huwezi ukamlinganisha mtu aliekula maziwa, samaki, nyama, dagaa na vyakula vingine venye protein nyingi akiwa mtoto na mtu aliekula kisamvu. mnafu, matembele na muhogo ati watakuwa sawa kiakili. kama huamini fanya utafiti utafiti hata hapa TZ kwa makabila yanayokula mboga mboga na nyama utaona utofauti hata reasoning, creativity utaona tofauti.
 
This discussion is rubbish eti Kabila lina mchango kwenye kufaulu? hayo ni Mawazo mgando.....and by the way it is not you... Moderator remove this discussion people are losing focus of what JF was ment for. I think you would have help the Children at by telling us what they should do academically, how to behave and what makes someone successful in studies than just saying he did well because he is Mchagga.....
 
nina chuo changu marekani
nimeamua kumtunuku dr andrew swai jioni hii kwa kweli amenifurahisha
hivi ndugu zetu mbona yale majina 10 bora majina yetu ayawapo ama atusomi embu tuwekeni sawa ama watoto wetu wakionwa majina yao rashd..nk mnatukaata maksi jamani ??

acha pumba,kila naposoma thread zako inaonekana hauna elimu..
 
Siri ni ndizi na kitimoto......
Alikudanganya nani?kama siri ndo hiyo basi kila mwaka wangetawala wachaga.Mara ngapi sisi wa kanda ya ziwa wenye yale majina mabaya mabaya tunakamata u T.O na wala hatushiki tarumbeta?.Hongera dogo Andy 1 kwa kuukwaa u T.O,umefaulu kwa juhudi zako masomoni na wala si kwa kula ndizi na kitimoto.Lisha mwanao mi-ndizi mpaka avimbiwe halafu muache alale,atapata div 1 kali sana.
 
Kwanza hongera kwa shemeji zangu
sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE NA AKILI
tra
bandari
ikulu
wizara za serikali
nk
si hicho tu 2015 tunataka kuingiiaaaa ikulu kabisa tushachok a kutomasana tomasana getini ikulu...hii inaonyesha kwamba watanzania wengi wanakubali sasa wachaga awakubahatisha kujazana
sehemu nyeti za serikalini na sasa wamehamia kwenye ngo zinazonuka hela nyingi nyingi

lengo kuu haswa ni kumpongeza kashemeji changu jamani andrew swai kwa kuionyesha tanzania
wachaga atukuja dar kuangalia matairi ya gari wala kuhesabu magari ya showrooms tumekuja kutafuta
maisha kihalali kupitia elimu

kwa niaba ya familia ya mushi,moshi,sarangawe,kinabo,marealle,keteleei,
na familia zoteeee za kichaga tunakupongeza shemeji kwa kukomaa na shule
hii ndio future iliobakia kwenye dunia hii natumaini mungu aliekufikisha hapo
anajua wapi unapotakiwa kufika ...na sie wakina kirenga,,urewedi na wengineo
tunakutakia heri na fanaka na wengine wote waliomfwatia kwa kuonyesha nia ya kumpita shemeji yetu swaii

kafondao swaii
Mkuu Diddy,umetaja vitengo kama tra,ikulu na bandari.SWALI;Unamaanisha hivi ni vitengo vinavyohitaji watu wenye akili sana au ni kwamba imetokea bahati kwamba toka enzi za kambarage kuna wachaga walitangulia sekta hizi na ndo chain ya kuvutana inaendelea mpaka leo?
 
jibu unalo hapo kwenye red
kwa ufupi muelewe urithi wa wachaga ni elimu tangu zamani na kila mtoto anajitahidi kusoma kwa bidii ndio jadi yetu, kunapokuwa na ushindani lazima juhudi kubwa zihitajike na ndicho tunachofanya kwani ukifeli jamii nzima inahuzunika.
sijisifu wajamini hata mm nimepita seminari ya ST James Moshi na performance yangu ilikuwa nzuri hadi namaliza shahada ya pili. sasa wenzetu hawathamini elimu na wao kuanzisha seminari hawachuji na pia malezi wanayowapatia bado wanayo kazi kubwa...nakumbuka sisi tulianza 40 tukamaliza form four 32 tu.mda
wa kusoma ni mfupi na tulijithaidi sana,
ni ajabu sana kuona wenzetu hawapo kwenye list inasikitisha watafute mbinu mbadala.

mbona nimesoma pale MUCCOBS watoto wengi wa kichaga walidisco!!!"""""
 
kwanza yako wapi makina ms, ff, barubaru na topical, mkandara, ally kombo na wadini wengine waanze kukemea mfumo kristo.

Ni madivision wani tu toka seminary. Mwenye matokeo ya masjid quba, al haramain na kinondoni muslim anitumie jamani nicheke kidogo, manake nikionaga fld huwa inanichekesha sana
nakutumia baada ya nusu saaa haya nayo ni muhimu ati
 
Hii ndio seminary yao iliofaulu

[h=2]national examinations council of tanzania[/h][h=1]
csee 2011 examination results​
[/h][h=3]
s0252 al-kheir islamic girls seminary div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 2 div-iv = 27 fld = 0 [/h]
 
Eat some more
[h=2]national examinations council of tanzania[/h][h=1]
csee 2011 examination results​
[/h][h=3]
p1503 zuhra islamic sem centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 1 div-iv = 93 fld = 96 [/h]
 
[h=2]national examinations council of tanzania[/h][h=1]
csee 2011 examination results​
[/h][h=3]
p0254 wal ul asr girls sec centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 14 fld = 24

[/h]
 
Unaweza kuangalia div1/2/3 nyingi wamezikimbia
kama hawa
[h=2]national examinations council of tanzania[/h][h=1]
csee 2011 examination results​
[/h][h=3]
p0889 twayyibat sem. Centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 40 fld = 46 [/h]
 
acha pumba,kila naposoma thread zako inaonekana hauna elimu..
karibu mkuu nahisi elimu yangu imenisaidia zaidi kuliko wewe unahangaika bado na wahadhari mi nilishamalizana nao pole sana
much luv
 
mkuu diddy,umetaja vitengo kama tra,ikulu na bandari.swali;unamaanisha hivi ni vitengo vinavyohitaji watu wenye akili sana au ni kwamba imetokea bahati kwamba toka enzi za kambarage kuna wachaga walitangulia sekta hizi na ndo chain ya kuvutana inaendelea mpaka leo?

nafikir kama una elimu kumvuta mwenye elimu nadhani ruksa mkuu
naongelea waanvyotumia elimu yao vyema ikiwemo kusomesha ndugu jamaa
ili wakiondoka waje kuwarithi kama tulivyojazana longroom
 
Back
Top Bottom