picha yake inaonesha huyu ni zaidi ya muuwaji. Amekaa kifedhuli. Huyu ni mchawi mla nyama za watu.Mapenzi! Mapenzi! Jamaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa hii ni picha ya mwisho aliyoiweka kwenye akaunti yake ya facebookView attachment 2705105
daah jaman...MUNGU atusaidie sasa amemfanyia hivo then anapata nn sasa ila wakaka wengine bhna ni huzuniMapenzi! Mapenzi! Jamaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa hii ni picha ya mwisho aliyoiweka kwenye akaunti yake ya facebookView attachment 2705105
kufanyiwa nn?Kuna mapimbi wanastahili hii pia.
Mbona we ulikuwa wavuaBitabu vyote vya dini vinasema uzinzi na uasherati ni chafu msiusogelee, nyinyi vijana hamsikii.
Fikiri upo na mwanamke aua na mwanamme hajaoana halafu umauti wake ndiyo umefika chumbani upo nae? Mpaka uje kujinasuwa kuwa hujamuuwa, ushapoteza muelekeo wa maisha yako to the worst.
Kijana usimvulie chupi mtu yeyote ambae hamjaowana.
Msidanganywe na picha za Hollywood wale ni waigizaji tu, siyo uhalisia.
Terminatekufanyiwa nn?
Analyse unataka kusemaje yaani mkuu???Huyo pembeni ndio manzi aliyenyongwa?
Amehukumiwa kwa kosa la kuua. Hizo tuhuma za Uchawi na ulaji nyama za watu, hajakutwa nazo.picha yake inaonesha huyu ni zaidi ya muuwaji. Amekaa kifedhuli. Huyu ni mchawi mla nyama za watu.
Hiyo post ni ya 2018, mauaji yametokea 2023. Kama huyo manzi ndiye, means walikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 5.Analyse unataka kusemaje yaani mkuu???
Nilivyoona ile sehemu kuwa akaenda msikitini, nikajua tu ni mwehu kama allah na muhammadi ndomaana kuua ameona ni kawaida.Bitabu vyote vya dini vinasema uzinzi na uasherati ni chafu msiusogelee, nyinyi vijana hamsikii.
Fikiri upo na mwanamke aua na mwanamme hajaoana halafu umauti wake ndiyo umefika chumbani upo nae? Mpaka uje kujinasuwa kuwa hujamuuwa, ushapoteza muelekeo wa maisha yako to the worst.
Kijana usimvulie chupi mtu yeyote ambae hamjaowana.
Msidanganywe na picha za Hollywood wale ni waigizaji tu, siyo uhalisia.
Sisi tusio amini katika hizo dini zenu unawezaje kutuambia kuwa kulala na MTU mzimawenzangu ni dhambi??Bitabu vyote vya dini vinasema uzinzi na uasherati ni chafu msiusogelee, nyinyi vijana hamsikii.
Fikiri upo na mwanamke aua na mwanamme hajaoana halafu umauti wake ndiyo umefika chumbani upo nae? Mpaka uje kujinasuwa kuwa hujamuuwa, ushapoteza muelekeo wa maisha yako to the worst.
Kijana usimvulie chupi mtu yeyote ambae hamjaowana.
Msidanganywe na picha za Hollywood wale ni waigizaji tu, siyo uhalisia.
Hii imekaaje mkuu??Nilishuka ndani ya gari nikaenda msikitini kusali, kisha nikarudi na kufungua mlango nikavuta maiti hadi chini”
Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUMPOPOA BIBI YAKO KIJANA MBONA HUESHIMU WAKUBWA WEWEAmehukumiwa kwa kosa la kuua. Hizo tuhuma za Uchawi na ulaji nyama za watu, hajakutwa nazo.
Huyo sidhani hata kama anajuta Kiranga komo.
Na Tanzania hii, Marais wote hawataki kusaini vifo. Atahenya sana huyo jela.
Mama'ke aliyemsaidia kuubeba mwili na yeye kapewa adhabu gani? Huyo mama mwanga, asiachwe bila adhabu.
Huyo itakuwa wameshirikiana na mama'ke, sema mtoto kajitowa mhanga mama'ke awachiwe, atakuwa huyo mama ana cheo kwa wachawi wenzake.