Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,861
- 93,648
Yeye kuita watu vilaza ni sawa, shame CCM.
Prosecution immunityInakuwaje kuitwa mtu mmoja kilaza ni kosa wakati mtu huyo kuwaita wengine wengi vilaza sio kosa?
Nyie nzi wa kijani kwa kupongeza hamjambo. Yohana mnampongeza hata akikata gogo kubwa.Tunaipongeza Mahakama kwa Kutenda Haki.
Kwa hiyo milioni tano imeondoa ukilaza au ukilaza kabaki nao?
Weka neno 1 my dear!okey
Yeye ni mtukufu yuko juu ya sheriamtu akiniita kilaza mwaka mmoja unamhusu,
Je na wale wanafunzi wa UDOM waliioitwa vilaza watangulie kisutu kumshitaki aliyewaita?/
Hupokei rushwa na wakati mabwana zako ndio vinara wa kupokea! Hii inaleta taswira gani kwako "mpango wa kando"!?anamtoa jasho nani? mi sipokeagi rushwa dada
Pathetic Lofa!Ni mabwana zako???
utakuja kufungwa jela uzeeni ukiwa roporopo!Eh mungu nisaidie katika ujana wangu niuchunge mdomo wangu
Naona ndicho ulichokariri tangu uvunje ungo. Kilaza mkubwa kama mwenyekiti wenu.Pathetic Lofa!
Wamemuhukumu mwaka mmoja autoshiMhasibu wa Shule ya Sekondari St Joseph, Elizabeth Asenga ametiwa hatiani kwa kosa la kumuita Rais John Magufuli kilaza.
Elizabeth ametiwa hatiani leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upande wa jamhuri kuthibitisha kosa.
Mhasibu huyo anadaiwa kuandika “hakuna rais kilaza kama yeye duniani” katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp.
Hakimu Shaidi akitoa uamuzi wa mahakama, alimtaka mshtakiwa huyo kulipa faini ya Sh milioni tano au jela mwaka mmoja ambapo amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.
Chanzo: Mtanzania
Asante sana Zamaradi. Hongera kwa mwanu!Naona ndicho ulichokariri tangu uvunje ungo. Kilaza mkubwa kama mwenyekiti wenu.